@stevetobsmedia: likua tarehe ni tarehe 14.06.2020 vijana wawili @godfreysteven_ na @mathiusthomas wakiwa wajawa na uvuvio wa roho mtakatifu kwa pamoja wakiwa na nia njema wakaamua kupakia wimbo wa #NIWEWE kwenye channel ya youtube ya Mathias Walichupa ukiwa ni wimbo wa kushirikiana ambao umebeba haki miliki za @mathiusthomas ambaye ndiye muhandisi mkuu wa wimbo huo katika kila kitu kuanzia kuchoka melody mpaka kuufanyia mixing wimbo huo. Sasa ni miaka mitano sasa tangu wimbo huu uwe kwenye mtandao wa youtube na digital platforms zote ila mpaka sasa unabakia kua moja kati ya timeless song ambazo utasikiliza kila wakati. Katika wimbo huu beti zote mbili zimekua beti za kipekee sana zilizobeba hisia za kimazingira pamoja na ujasiri wa kumtegemea Mungu katika kila hali na mazingira yote magumu. Anaanza @godfreysteven_ kwa ustadi mzuri na uvuvio wa roho mtakatifu huku akiwa amebeba mguso wa aina yake na @mathiusthomas walichupa anatupeleka moja kwa moja kwenye uwanja wa vita bila kua na uhaba wa mishale kwa kua Mungu yuko upande wake kwa upande wangu tangu mwaka 2015 mpaka ivi sasa bado sijapata wimbo mwingine unaoweza kujenga tumaini langu kila nikiutafakari ukuu wa Mungu na wimbo huu hua unainua sana imani yangu kwa Mungu kwa nyakati zote ninapokua nimeinama. #yeshua #jesus #jesuslovesyou #passover2025 #easther #congolaise🇨🇩🇨🇬 #congolaise🇨🇩 #muslims #congo #shekh #america #africantiktok #isalmic #catholicvibes #heshimakwawazazi #onceuponatime #praisethelord #eastafrica #praiseandworship #praise #yeshua #jesus #jesuslovesyou #passover2025 #easther #jesusisking #masia #samsasali #ibada #women #ccm #chadematz #act #pricillashirer #girlfriends #boyfriends #womenempowerment #womenentrepreneur #tiktokkenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 #kenyatiktokers #tanzania🇹🇿 #daressalaam #kariakoo #dodoma #mbeya #arusha #mwanza #kenyan #nairobi #kampala #kigali #rwanda #bunjumbula #goma #congo #congolese #uganda #africanart #girlfriends #boyfriends #womenempowerment #womenentrepreneur #tiktokkenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 #kenyatiktokers #kenyatiktok #daressalaam #tiktokkenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪nairobi #tiktokkenya🇰🇪 #tanzaniantiktok🇹🇿 #tiktoktanzania🇹🇿 #tanzaniatiktok #christianfashion #Buckethead #nairobitiktokers #ambwenemwasongwe #africa #gladnessmwanga #farajacute #5star #women #samsasali #ibada #zingatiaibada #farajacute #gladnessmwanga #kerinelife#tiktokkenya🇰🇪 ###tanzaniantiktok🇹🇿 ##Buckethead #tanzaniatiktok #tanzaniantiktok🇹🇿 #tiktokkenya#tiktoktanzania🇹🇿 #tanzaniatiktok #daressalaam #tiktoktanzania #kenyatiktokers #kenyatiktok #nairobitiktokers #tiktokkenya🇰🇪 #tiktokkenya

Steve Tobs Media
Steve Tobs Media
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 03 October 2025 19:32:02 GMT
395845
24506
309
1215

Music

Download

Comments

nanziasenzige
🦋🦋nansy ♥️💯🦋💙 :
mungu anabariki Kila hitaji lako na ufike nchi ya ahadi wewe usomae comment hii🙏
2025-10-04 07:49:28
319
mariam_mwanza_closet
mariam closet :
niliimba huu wimbo usiku mzima kuamkia sendoff yang yani hakika nilimuona Mungu siku ya tukio hakukua na aibu wala fedheha kila aliehudhuria alisema hajawah kuona sendoff nzuri kama hii mpaka leo naitwa bibi harusi mambo yalikua🔥🔥
2025-10-04 09:16:07
265
m.a.r.c.i.e23
It’s marcie :
sioni waimbaji wakubwa wakimpa shavu Godfrey Steven lakini uyu jamaa ana balaaa nyimbo zake ni very really 🥰
2025-10-04 17:31:50
122
brave.bob
brave :
Godfrey Steven ni pure talent
2025-10-05 09:46:44
20
lizzy_josee
Daisy 🌼 :
November 2020 singing this while my both parents were so sick ,forwarded to my mum and she replied I am going on an operation room right now my daughter, I just knew she will survive that and she did!!! Hallelujah
2025-10-04 17:38:20
9
mwaikasu1
AHOBOKILE :
Walichupa underrated gospel singer but kijana anajua sana napenda sana nyimbo zake @sifa za moyo wangu @Amen @Nitashinda kijana nyimbo zake ni baraka sana maishani mwangu
2025-10-05 09:31:00
12
engineerchriss1234
EngineerChriss :
kama unawakubali awa watumishi wawili gonga like hapa❤
2025-10-04 20:33:12
5
ester.steven3
Ester✨ :
Nili juaga kipofu😂😂
2025-10-04 14:45:38
8
yustinamayemba105
DADA MAYEMBA 105 :
Jina la wimbo please
2025-10-04 12:26:42
5
atustephen3
atu❤️ :
Mimi nampenda sana Mathias walichupa nyimbo zake zote zinanibariki sana kwakweli
2025-10-05 20:42:58
8
dada_lollie
Dada_Lollie✨🥀 :
Wimbo wangu bora wa miaka yote
2025-10-04 17:14:52
5
sugarcane642
Lifeofsugarcane :
Baba angu alifariki 2021💔😭,huu wimbo unanipaga faraja sanaaa❤
2025-10-04 11:45:01
5
deborahelambili
deboraJ :
napata faraja mno nkisikiliza 🙏🙏
2025-10-04 04:52:07
15
chaupole097
username 37 :
nliingilia cku ya send off 2021
2025-10-04 07:40:20
6
sarahkimaro887
Sarah Kimaro887🧿🦋🦋🦋 :
Kabisa kabisa🙌🏾
2025-10-04 07:12:00
10
elizabethantonymz
##FaithmomOg :
kabisaaa hata mm wimbo nnahistoria nao huu na bado unaish kwenye moyo wangu kila nikiusikilza nauwona mpya na bado unaniliza kaka walijua umu😭😭😭
2025-10-04 13:44:46
8
bensonndaki6
NDAKI jr :
Huo wimbo no bora sana unatia moyo sana
2025-10-04 12:00:29
6
happymenaskasasa
happily :
Hujawai kuchuja kwakweli
2025-10-04 08:15:06
5
iggynishas4
pinah🌺🌷 :
wimb wang pendwa sijawah choka kusikiliza🥰
2025-10-04 07:32:29
13
ashellyofficial28
@ashleyofficial28 :
best song ever🙏
2025-10-03 19:55:29
8
mshiya43
Daus🦋❤️ :
Lazima niimbe kila siku 🥹
2025-10-04 10:32:37
9
bi1allowed0
Butterfly♓👑🩵 :
naupenda mno
2025-10-04 17:45:43
5
mamaaa.wawilii
mamaaa :
me ndo wimbo pendwa wa mwaka huu 2025
2025-10-04 13:48:55
7
bebeg290
lastborn🤔😘🦁 :
niambien inaitwaje jamni 🥰🥰🥰🥰🥰
2025-10-08 17:37:41
0
afyatips18
afyatips18 :
Huu wimbo ni hauchoshi from January to december 🙌🏻wimbo wa mwaka huu🔥🔥🔥
2026-04-15 18:22:36
1
To see more videos from user @stevetobsmedia, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About