@desuza_cosmetics_tz: MARINA GLOW OIL🔥🔥🔥 📌it is a very good oil from philippines ,Guys kama tunavyojua philippines hawanaga kaz mbovu test this oil then you will thank me later 📌wanaotaka kungaa ipo vitamin C&E 📌wale wanaotaka kuglow na kunga mwili mzima 📌inakufanya unapata rang moja mwili mzima 📌inaondoa madoa 📌inasaidia kuondoa michilizi 📌Hii kwa watu wanaokaa kwenye sehem za baridi ndo oil yenu hii don't miss it Bei 35,000 Tunauza jumla na reja reja Tupo kariakoo big born sheli
mbona wengine wanasema atupaki usoni? Sasa inakuaje hii
2025-10-14 01:08:25
3
Official leah🥰😘 :
Jaman huwezi niambia nikakuelewa kuhuc hii marina body oil uwiiii 🙌🙌🙌 nilikuwa nina michirizi kama totoro za panya,😭 nashindwa mpaka kuvaa gauni fupi na sketi 🥰 ila now ni moto na nina week tatu tuu toka nianze kutumia 🥰🥰🥰 🥰
2025-10-14 17:57:29
11
MAMA AMAYRA :
bei yake ni shilingi ngapi
2025-10-06 08:54:56
2
Mankaa :
jaman marina inaondoa michirizi naushuhuda michirizi inafifia mwisho inapotea alooh marina ni balaaa
2025-10-06 16:10:19
6
mariamu :
mie mbona natumia na ainitoi
2025-10-14 13:39:45
10
Doric ♐ :
Mimi michirizi imepunguwa ila imenipa vidoti vyeupe sijui nifanyeje
2025-11-28 09:00:38
2
عالية❤️💜 :
Kama ww umesema basi ntainunuaa🥰
2025-10-07 15:38:52
0
Sarahstephen :
Nahitaji
2025-10-16 07:36:14
0
goldenpetalsperfumedodom :
Mimi pia naushihuda n haya mafuta tena michirizi ilikua ya uzaz lkn kwishaaa
2025-10-08 08:00:08
1
princessmunish2 :
Dada kati ya marina oil na Glow plus oil gani mzuri ya kutibu michirizi
2025-10-12 14:17:40
1
sanifakimaro4 :
Naomba namba
2025-10-09 09:58:57
0
idaya ommy :
mbona nazidi kuchanganyikiwa lakn
2025-10-07 19:36:14
4
Mrs G :
uongo mtupu nyie uzen tu
2025-10-07 04:38:43
4
user6747927205491 :
naomba namba
2025-10-08 13:45:38
0
movex :
mwenye haya mafuta Dodoma nakuomba na namba zako na location
2025-10-08 12:34:33
0
Raiyyan_fahmy :
natumia final glow vip naweza kupaka naiyo malina kwa juu
2026-03-09 14:28:22
1
vipodozi org :
30k njoo😅
2026-01-02 09:26:09
1
sanifakimaro4 :
mko wapi
2025-10-09 09:30:14
1
1992zk3 :
Ninayo mishirizi mingi sana nitaipataje niko congo
2025-10-08 19:46:20
0
Ester Juma :
bas naomba namba
2025-10-07 09:04:17
0
user69186938226436 :
Nahitaji ninayo mingi sana nipo zanzibar
2025-10-08 10:11:42
0
jack malkia :
jamani mm michirizi haijatoka ila ngozi yangu imekuwa nzuri sn
2025-10-10 11:09:41
2
🥰 babra❤️ :
Nishaitumia san lakin haikunidaidia chochote
2025-11-25 05:59:27
1
sarahemanuel51 :
unapatikana wap
2025-10-07 02:50:48
0
Fey🦋 :
Duka lako lipo wapi dear ? Na unapaka yenyewe tuu na unachanganya na kitu au Kama ilivyo inaleta matokeo ? Na michirizi ukipaka hayo mafuta inachukuwa mda gani kuona matokeo?
2025-10-27 06:08:04
1
To see more videos from user @desuza_cosmetics_tz, please go to the Tikwm
homepage.