Yani huyu mwanamke ni mpumbavu 🙄 sasa hizi Ndo akili za Lamu???
2025-10-14 20:02:52
17
nanah collo💸 :
acha tu waendelee na uwo uwasharatii..ila hakun mabibi wawilwawil apa..
2025-10-17 07:22:45
0
user5766262362581 :
Wanaume ni maubwa hata akio a wawili bado tuu atatoka nnche
2025-10-15 07:22:24
0
ISAAC ALI 🇱🇺🇱🇺 :
huyu mama anaonekana anapenda sana kupigwa miti maana Kila speech aliongea ni hizi
2025-10-17 10:17:09
1
Merai Omar :
usharati tu Kuowa mabibi wawili wawili aaaah
2025-10-15 13:10:18
0
user9930669249734, :
peleken uko uchafu wenu 😏😏
2025-10-15 14:56:47
0
FISI MWEUSI 🇹🇿 :
nisipo kaza nakuwa muislam muda si mrefu maana hakuna raha kama wanwake kushindana kukupa furaha aloo unaweza ambiwa usiamke saa 1 utapotea 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
2025-10-15 17:47:04
0
hlmo :
mama hacha kutuongezea majukumu hata huyu mmoja tunataka kuwarudisha kwao