Nataman ningefanya hii challeng ila babangu hanipendi 😭💔
2025-11-22 09:46:38
784
@lynn Alpha :
kazi ya babangu ni kuniaibisha na ulevi kila siku 😭
2025-11-23 09:38:25
212
@da zuu_clothing Mwanza1 :
Finally wanaume wamepata wimbo wao
2025-10-23 14:14:02
398
Mr Mustapha Chidy :
R.I.p dady, ulipambana sana ila hujala hata Mia yangu , daaah Allah akupe kauli dhabit
2025-11-22 19:41:26
76
🦋saida🦋 :
wale waliokataliwa toka mimba na babazao apa wanataman walie haooo😂😂
2025-11-16 15:37:56
95
maryciannah :
tusio na baba tunacoment wap au ndo vichozi vinalenga
2025-12-01 07:26:57
55
dyreen trizer :
sisi watoto wa single mothers tuna ona kama hii wimbo ni AI
2026-01-10 18:08:08
70
G L O R I F Y ✝️ :
Hii nyimbo inafanya nitamani baba yangu angekuwepo🥹🥹
2025-10-23 05:57:14
111
charming queen 🤍💃 :
maskini mim ata simjui baba yangu🥹😭
2025-11-27 20:32:59
20
Jessie :
mwanaume wa kwanza kumuimbia baba.... hongera hatimae wamekumbukwa🥰
2025-10-24 09:53:15
83
Martha Nathan :
pumzika kwa amani baba yangu
2025-10-23 05:08:44
40
BABY❤️ ZUUH OFFICIALL :
Rest easy babangu 🥺
2026-01-05 15:43:10
18
baby baby🥰🇨🇦 :
tusiokua na baba tujuane😥😥😥
2026-01-11 07:27:57
11
kasweet :
mungu nitunzie babayangu siku ya harusi yangu nimuimbie huu wimbo nakupnda baba🥰
2025-10-23 11:01:36
15
Anna Mungure :
😭😭😭😭 Heri wenye baba mimi alikufaa juu yangu ila mama wa kamboo watt wako watapanda na kushuka kam mimi nakulaani kwa kumuuwa babaang juu mimi akuna ataekuwa na maishaa hata ck mojaa mbing na ardh isikie hili rest in peace dady😭😭😭
2025-12-05 11:31:05
5
Tammy :
Kama baba yako yup hai weka like ❤❤
2025-11-29 09:37:22
7
MariamTz :
Wenye baba mungu awalindie huyo baba
2025-12-16 15:50:52
8
cutty thuma :
Wenye tumezika baba zetu 😭tulike hapa 🥹
2026-01-11 06:29:56
7
LUDAH :
🥺🥺Nafunga ndoa December Ningeingia na baba angu na huu wimbo ila alinikataa Tangu ujauzito na hadi Leo hanitaki kabisa 🥺🥺🥺
2025-11-23 21:15:37
31
Stella Christopher :
baba Kwann sasa ulilala mapema unaona maumivu naypata binti Ako 😭😭
2025-11-22 13:29:09
23
@ms_raim♈️ :
Ambao hatuna baba,rest in peace mzee wangu💔
2025-12-06 15:58:15
7
DeeV Fashion House :
Ukiwa na wazazi wote raha jamani🥰
2025-11-19 05:13:46
20
MRS__SOMEONE❤🦋 :
Atleast ujue hata kaburi la baba kuliko hujui hata alipo😭🥹😟so pain🥹😒😭
2025-11-23 11:37:08
21
Catrida2820 :
Pumzika kwa amani baba angu 😭😭😭😭
2025-11-16 08:28:56
7
Borbo Ingo :
pumzika kwa amani baba na mamaangu😭😭😭😭😭😭😭
2025-10-23 20:49:55
24
To see more videos from user @annuh_masterpix, please go to the Tikwm
homepage.