@cawabemedia_: Wiki hii kwenye #sautiyajamii tulizngumza na wakazi wa Temeke wakielezea hali ya kisiasa Nchini katika siku chache zilizo salia kuelekea uchaguzi mkuu. Video kamili ipo YouTube yetu CAWABE MEDIA.

cawabemedia
cawabemedia
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 25 October 2025 10:40:33 GMT
167126
8688
754
699

Music

Download

Comments

narish1111
Narish1111 :
mbona wewe hujachimba kisima binafsi kwahyo kuna mwanaume mwenzio kachimba we unamlipa pesa tupambane kutafuta maendeleo mahi hakuna serikali itakupambania asilimia 100
2025-10-26 15:04:37
1
officialmimah3
mimah_49 :
Njoo mwanza tu Tupo ziwan lkn maji hamna kukaa wiki bila maji Kawaida 😂😂 iyo buhongwa tu kwenda mpaka usagala maji hamna wala mabomba hayajawai kupitishwa
2025-10-25 11:57:04
159
joshua.sambeke
Joshua Sambeke :
viongozi tafuteni pakujificha 39
2025-10-27 20:41:13
0
samiasuruhuhuser3822
Samia suluhu hasan :
huo niuongo
2025-10-27 07:17:02
4
bizzyoutfittz
BIZZY OUTFIT🇹🇿🇿🇲 :
Vichwa vipo mtaani viongozi wanazani wanaongoza mataila
2025-10-25 11:00:39
351
user4105222488385
Kelvin :
huyu ni mwananchi anaeijua nchi yake. ata police hawana akili kama ya huyu mzee
2025-10-25 12:15:30
126
edwibachubila255
Re²bachubila :
Tulio sikiliza zaidi ya ×2 weka like 👍
2025-10-25 21:48:22
38
user2785049254844
sacrifice for your feature :
mbona uyu jama anajua nchi kama korido yetu
2025-10-26 05:09:40
14
athmanbinmsumai
athman msumai :
huyu jamaa alikuwa analala masijala mbona anaijua Nchi kindaki ndaki
2025-10-25 14:12:13
83
imam_yuben
imam_yuben :
Hakuna kiongozi atakupa maisha mazuri sahau hilo
2025-10-25 12:29:26
18
elcapitano_115
Silva47 :
inauma sana guys but solution ni kuitoa ccm madarakani wametudanganya kwa miaka 64
2025-10-25 11:15:00
116
user20210573914953
Jogoo@ :
Vichwa vipo mtaan matahira ndo wapo uko inauma sana
2025-10-25 12:43:11
36
tiktokhighcoat
GENZ 255🇹🇿 :
kama unaumia na hii hali afya 29 Oct utoke tukakomboe nchi yetu
2025-10-25 11:40:40
83
amina.hussein03
Amina Hussein :
😭😭😭jamaa ameongea point sana Tanzania yetu inawatu kama Hawa wapewe kazi
2025-10-25 10:52:15
57
maikokaombwe6
Maiko dalali dodoma :
Huyu ndo inatakiwa awe waziri wa mji Tz
2025-10-27 03:43:23
2
johnyjohnsonpanda
Johnijooh :
Napenda kusikiliza watu wanaoijua Tanzania hii kwa Fact uishi sana siku moja tukutane peponi
2025-10-25 14:57:20
66
user618472210445
[email protected] :
una facts ila Tanzania nikubwa baba yangu
2025-10-25 19:33:18
11
chidy27sportswear
Rashidyhalufan :
Uyo mkimpa ubunge atimizi ata kimoja binadam kazi
2025-10-25 21:22:56
3
jaywarhymes
Jay warhymes255 :
Pigieni kura ccm muendelee kufa
2025-10-27 04:18:54
0
joseph.juma337
Joseph Juma :
Tanzania huduma za Jamii zipo midomoni tu
2025-10-25 11:34:32
60
abdillahmnyambo
abdillahmnyambo :
Ingekuwa fikra ndio kutenda,basi akili ya huyu anapoishi angekuwa yupo peponi. Huyu hajui anachosema,na ukimwuliza nduguze hana msaada. Nchi sio chumb
2025-10-26 03:23:04
5
mchambuzihuru
Mganga Sumbawanga :
maisha ni Yako ....viongozi hawahusiki
2025-10-25 12:56:31
3
adelove583
adelove583 :
maji ya songea yanavyotok machafu😁😅
2025-10-27 07:11:33
1
traveler....11223333
FISI MWEUSI 🇹🇿 :
jitu na nusu linaijua nchi nzima kuliko mtu fudenge 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2025-10-27 04:02:20
4
devota.mbombo
Totoo D :
jamaa limeongea utafkir wazr kumbe yupo tuu kitaa 👏👏👏👏🙏🙏 ...kuna kiongozi ukimwambia aelezee hii hawez n mpaka aandkiwe karatasa asome ila jamaa madini yapo kichwani..big up brother 💪💪💪💪👏👏👏
2025-10-26 23:22:01
2
To see more videos from user @cawabemedia_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About