@omidol_health_consultanc: Replying to @mamyjoh955 PID ni kifupi cha Pelvic Inflammatory Disease, Ni Ugonjwa wa Uambukizo wa bacteria kwenye Via vya Uzazi vya Ndani vya Mwanamke kama mfuko wa uzazi (uterus), mirija ya uzazi (fallopian tubes), na ovari. SABABU KUU: PID husababishwa zaidi na bakteria wanaopanda kutoka ukeni au shingoni mwa kizazi hadi kwenye sehemu za ndani za uzazi. Mara nyingi hutokana na maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama: 1. Klamidia (Chlamydia trachomatis) 2. Gono (Neisseria gonorrhoeae) DALILI ZA PID: 1. Kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu mbaya ausio na harufu 2. Maumivu tumbo hasa chini 3. Maumivu wakati wa tendo la ndoa 4. Miwasho ukeni 5. Kutokwa damu isiyo ya kawaida nje ya siku za hedhi MADHARA YA PID: Kama haitatibiwa mapema, PID inaweza kusababisha: 1. Kujifunga kwa mirija ya uzazi (fallopian tubes) 2. Ugumba (kutopata ujauzito) 3. Maumivu ya kudumu tumboni 4. Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi (ectopic pregnancy) 5. Mimba kuharibika 6. Saratani ya shingo ya kizazi kwa usahuri na tiba sahihi ya mapema nitafute kwa namba +255654 35 79 71 #kiboko #pidawareness #pid #uzazikwamwanamke #kibokoyapid

Dr. Omidol
Dr. Omidol
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 31 October 2025 15:35:08 GMT
10280
68
5
13

Music

Download

Comments

user50846161986180
lilian :
naomba msaada plz
2025-12-27 12:25:55
0
janet.mo5
Janet mo :
helloo upon wp
2025-11-01 05:24:40
1
kadzo.beatrice
Kadzo Beatrice :
naihitaji
2025-11-03 07:30:58
0
mulhat898
mulhat :
dwa ni gni
2025-11-05 20:54:15
0
To see more videos from user @omidol_health_consultanc, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About