@emanahmed0757: #عبارات_جميلة_وقويه😉🖤

Emy🤍☕
Emy🤍☕
Open In TikTok:
Region: EG
Tuesday 11 November 2025 08:41:58 GMT
234178
3394
95
5863

Music

Download

Comments

loveu.mom30
👑Yosra Mom🇲🇦👑🦂 :
الحمدلله 🥰🥰
2026-04-09 12:28:44
1
userf5k08az0wz
نورة نورة :
البدايه حلوة وبعد كدة يدمرك
2025-12-29 12:22:36
2
dyc866xo5fqd
dyc866xo5fqd :
ده حصل ولا ع البال ولا ع الخاطر
2025-12-12 22:13:15
1
user38626121117668
خالد :
اي ولله صحيح ❤
2025-12-27 15:01:55
1
sufianmusallam
Sufian Musallam :
السعادة هي العطاء دون مقابل
2025-11-13 16:43:39
3
flowr861
lol82 :
Soon❤️❤️
2025-11-12 18:25:45
1
user9654349600943
سيد علي الرفيشي :
وين الكاه باحلم
2025-11-16 16:43:21
1
user5746606310547
غياب روح :
وين هاد بدو يلتقا😔
2025-11-13 08:04:29
2
user9748127599949
. :
وداعتج كلها مصالح 👍
2025-11-14 09:39:33
1
shalehat.elhana
شاليهات الهنا الاسماعيلية :
حقيقة تستحق العناء
2025-11-11 16:45:35
2
tt.tt1636
Mahra...$ :
فدوه تفتح التنزيل
2025-12-13 17:12:14
0
hussein99917
حسين رميتي :
2025-11-14 20:56:28
2
dypb07leu2ts
حزين يا قلبي 💔 :
فعلا كلام جميل والله
2025-11-12 17:35:41
2
amrsalama399
amrsalama :
الحمد لله ان ربنا عوضني بعد فقد وخذلان ❤️
2026-04-27 20:01:28
1
bbvvbbbbbbh
حاول تفتكرني :
وايخليك تتعلق بي وايدمرك🤔
2025-11-16 20:20:36
1
el..tony6
EL. TONY :
🤔٠٠٠٠احزرررررى٠٠🙏
2025-12-16 16:06:51
1
user2373010870616
peter :
اي صح انا دخلت حياتي من فترة قصيرة فجأة كانت رح تخربني بس طلعت أشطر منها 😂
2025-11-12 13:00:18
2
lidia.anabi
Lidia Anabi :
الحياة تضحية. والام هي التى تضحي.
2025-11-13 23:22:51
1
user27144876273401
اااا % :
إلا أنا حسسني بالتوتر وضيعلي عقلي وتفكيري🥺
2025-12-27 10:15:28
1
sdel.sakal
شامخ فبراير :
اي صبر معي
2025-11-12 06:52:33
0
muhamed.darwish
Muhamed Darwish :
ربنا يسعد قلبك وروحك وايامك يارب
2025-11-12 12:00:14
1
salahdeepo1
salah :
يا وجع القلب حقيقة
2026-01-06 05:03:40
0
stllr_22
ابو علي :
2026-05-18 17:24:51
0
To see more videos from user @emanahmed0757, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Zaburi 138:8 “BWANA atanitimilizia makusudi yake…” Warumi 8:37 “Lakini katika mambo hayo yote tunashinda, na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda.” 1 Wakorintho 15:57 “Lakini Mungu na ashukuriwe atupaye kushinda kwa Bwana wetu Yesu Kristo.”  Bwana Mungu wangu, ninaomba kwa jina la Yesu Kristo, kila roho ya kushindwa kwenye hatua ya mwisho wa mafanikio yangu iniachie sasa. Kila nguvu inayosababisha nione mema kwa mbali lakini nisiyamiliki, ianguke kwa moto wa Roho Mtakatifu. Kwa jina la Yesu Kristo Sitakuwa mtu wa kuona mafanikio kwa wengine pekee.  Kwa jina la Yesu, ninaingia katika majira ya  kumiliki wa baraka zangu. Baba wa mbinguni, kila mzunguko wa kurudia kushindwa karibu na mpenyo wangu  nauvunja leo. Kila wakati nilipokaribia ushindi lakini nikarudi nyuma, damu ya Yesu ifute historia hiyo. Ninaikataa hali ya kufika karibu na ndoa, kazi, biashara, huduma, au mafanikio kisha kupoteza kila kitu ghafla. Kuanzia leo, nitamaliza vizuri kile nilichokianzisha  Mungu mwenye nguvu, sitakuwa mtazamaji wa baraka zangu nikiwa mbali nazo.  Kila kilichoandikwa kwa ajili yangu kitapata nafasi katika maisha yangu. Nitamiliki kile ulichoahidi. Nitaingia katika milango iliyofunguliwa mbele yangu. Hakuna nguvu ya giza itakayenizuia kufurahia matunda ya kazi yangu. Kwa jina la Yesu Kristo, kila mwizi wa kiroho anayeharibu mafanikio yangu dakika za mwisho, anaangamizwa. Kila nguvu inayochukua ushuhuda wangu kabla haujatimia, naiivunja. Kila roho ya kuchelewesha, kuvuruga, au kuharibu matokeo yangu mema, toka katika maisha yangu kuanzia sasa.  Bwana, fungua milango ambayo imekuwa ikifungwa ninapokaribia mpenyo wangu. Kila mlango wa kazi, ndoa, huduma, biashara, elimu, na mafanikio ya kifedha uliofungwa na adui, naiamuru ufunguke kwa jina la Yesu. Nitaingia katika ushindi wangu bila kuzuiliwa.  Bwana, linda kile unachonipa. Kila baraka itakayokuja katika maisha yangu idumu. Sitapokea kwa mkono mmoja na kupoteza kwa mwingine. Naomba hekima, neema, na uwezo wa kushikilia mafanikio yangu mpaka mwisho. Bwana, timiza makusudi yako juu ya maisha yangu. Kama ulivyosema katika neno lako kuwa hakuna ahadi yako itakayoanguka chini, basi kila ahadi juu yangu itatimia. Sitakufa kabla ya kuona wema wako katika nchi ya walio hai. Nitafurahia matunda ya maombi yangu. Katika jina la Yesu Kristo ninaomba na kuamini, Amen
Zaburi 138:8 “BWANA atanitimilizia makusudi yake…” Warumi 8:37 “Lakini katika mambo hayo yote tunashinda, na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda.” 1 Wakorintho 15:57 “Lakini Mungu na ashukuriwe atupaye kushinda kwa Bwana wetu Yesu Kristo.” Bwana Mungu wangu, ninaomba kwa jina la Yesu Kristo, kila roho ya kushindwa kwenye hatua ya mwisho wa mafanikio yangu iniachie sasa. Kila nguvu inayosababisha nione mema kwa mbali lakini nisiyamiliki, ianguke kwa moto wa Roho Mtakatifu. Kwa jina la Yesu Kristo Sitakuwa mtu wa kuona mafanikio kwa wengine pekee. Kwa jina la Yesu, ninaingia katika majira ya kumiliki wa baraka zangu. Baba wa mbinguni, kila mzunguko wa kurudia kushindwa karibu na mpenyo wangu nauvunja leo. Kila wakati nilipokaribia ushindi lakini nikarudi nyuma, damu ya Yesu ifute historia hiyo. Ninaikataa hali ya kufika karibu na ndoa, kazi, biashara, huduma, au mafanikio kisha kupoteza kila kitu ghafla. Kuanzia leo, nitamaliza vizuri kile nilichokianzisha Mungu mwenye nguvu, sitakuwa mtazamaji wa baraka zangu nikiwa mbali nazo. Kila kilichoandikwa kwa ajili yangu kitapata nafasi katika maisha yangu. Nitamiliki kile ulichoahidi. Nitaingia katika milango iliyofunguliwa mbele yangu. Hakuna nguvu ya giza itakayenizuia kufurahia matunda ya kazi yangu. Kwa jina la Yesu Kristo, kila mwizi wa kiroho anayeharibu mafanikio yangu dakika za mwisho, anaangamizwa. Kila nguvu inayochukua ushuhuda wangu kabla haujatimia, naiivunja. Kila roho ya kuchelewesha, kuvuruga, au kuharibu matokeo yangu mema, toka katika maisha yangu kuanzia sasa. Bwana, fungua milango ambayo imekuwa ikifungwa ninapokaribia mpenyo wangu. Kila mlango wa kazi, ndoa, huduma, biashara, elimu, na mafanikio ya kifedha uliofungwa na adui, naiamuru ufunguke kwa jina la Yesu. Nitaingia katika ushindi wangu bila kuzuiliwa. Bwana, linda kile unachonipa. Kila baraka itakayokuja katika maisha yangu idumu. Sitapokea kwa mkono mmoja na kupoteza kwa mwingine. Naomba hekima, neema, na uwezo wa kushikilia mafanikio yangu mpaka mwisho. Bwana, timiza makusudi yako juu ya maisha yangu. Kama ulivyosema katika neno lako kuwa hakuna ahadi yako itakayoanguka chini, basi kila ahadi juu yangu itatimia. Sitakufa kabla ya kuona wema wako katika nchi ya walio hai. Nitafurahia matunda ya maombi yangu. Katika jina la Yesu Kristo ninaomba na kuamini, Amen

About