@soulradiant0: 🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆 | Sheikh Ponda Atia Shaka ‘Maridhiano ya Kitaifa’ 🇹🇿 Sheikh Ponda Issa Ponda, Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, ameibuka hadharani leo Nov 15, 2025 akieleza wasiwasi mkubwa kuhusu dhamira ya kweli ya CCM na Serikali katika mchakato wa Maridhiano ya Kitaifa. Amesema hatua ya kwanza lazima iwe kila upande kukiri makosa yake, lakini anaona hakuna dalili kuwa CCM/Serikali iko tayari kufanya hivyo — hasa ikizingatiwa kuwa baadhi ya taasisi zinazolalamikiwa ndizo zinapewa pongezi na “salamu njema” kipindi hiki. Sheikh Ponda amesema bila ukweli na uwajibikaji wa pande zote, “maridhiano hayawezi kuwa ya kweli wala ya kudumu.” #BreakingNews #Tanzania #SheikhPonda #Maridhiano #CCM
WincieTv
Region: US
Saturday 15 November 2025 12:32:48 GMT
Music
Download
Comments
SIMBA_MEENA :
kuanzia leo huyu ndio mufti wetu wa Tanzania
2025-11-15 19:19:35
75
Dequtejully :
Mpenzi wangu Abdul Mrisho kama Sheikh wako ndo huyu basi nimekubali kusilim😂
2025-11-15 17:37:38
34
Carl Peters :
Wewe mzee Shekh Ponda ni Shekh wa Ukweli na unapenda Haki.
2025-11-15 16:56:50
55
Feroni :
Kama itatokea hivyo basi katika hao wastafu tunaomba kikwete asiwepo kabisa...
2025-11-15 15:22:58
74
olepenina ngulaaolopenina@gmai :
tatiso kubwa sana shee wangu lakini marithiano iyo uongo Samia atokee2 atumutaki na CCM yao😂😂😂
2025-11-15 16:19:23
23
Mbweha Adventures :
Shekh mwenye hekma .. mpenda haki sio wale njaa kali.. Allah akubariki sana
2025-11-15 18:18:53
9
Emma old skool :
asalaam walaykuuum ndugu wakristo
2025-11-15 15:33:07
15
momobabe😍😘 :
Uyo ndo uwislam sasa
2025-11-15 15:06:51
12
Nyakyusagirl71_tz🇹🇿 :
nauliza tu huyu shekhe msikiti wake uko wapi niende maana amenyooka sana hana kandokando tofauti na wale ❤️❤️❤️🥰🥰🥰
2025-11-15 17:34:05
5
user80828341955pawa :
kataba lazima na uchaguz uludiwe
2025-11-15 16:58:00
6
Jacqssone• :
Uyu mzee ndiyo alitakiw kuwa president
2025-11-15 19:35:53
5
Samwely Laizer :
💪💪 ndo shee ss sio wale Wala ubwabwa
2025-11-15 17:02:09
5
Edcleo :
hii inshu sio yenu hatutaki maridhiano hii ni ya Gez waachoeni wayamaliza msidandie gari Kwa mbele
2025-11-15 13:43:52
9
african giant 🙌🏻 :
akika shekh ponda unapepo yako
2025-11-15 16:14:50
7
user4819887726928 :
Huna baya mzee wangu
2025-11-15 16:03:57
5
Mercy :
MUNGU akutunze. maana sikuhizi wasema ukweli wanapotea
2025-11-15 17:11:08
5
user7742667268781 :
shee munguu akurindeee🙏🙏🙏👍
2025-11-15 16:15:23
6
user1456617403548 :
kutekwa pia
2025-11-15 13:10:14
5
mascombiso45 :
kwa maneno yake samia yy ndie alituma wauajii
2025-11-15 13:53:47
6
Oterohoteroh :
Wastafu sio Kikwete hapana
2025-11-15 17:25:02
5
ULAMAA.. :
Fact labisa sheikh Honda Mimgu akulinde na manaya na akujaalie umri Mrefu
2025-11-15 16:28:22
6
SOCIAL ENTREPRENEUR :
ACT wote wanafiki. Siyo wa kuwaamini hata kidogo
2025-11-15 13:38:29
5
Suk :
SABABU KUBWA YA MAANDAMANO NI CHUKI ZA KIDINI NA UBAGUZI
2025-11-15 18:38:59
3
CHIEF EBELA :
🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡 sanamu lauyu mzee lijengewe mkoa gani?
2025-11-15 19:45:23
2
Jodie :
ukweli unaponya taifa tukae tuzungumze tujenge nchi
2025-11-16 15:00:28
2
To see more videos from user @soulradiant0, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.