@msemakweli_macha: Wengi wanaokuja na madai ya kuwa vyakula vya Mafuta na protein kama Nyama Mayai samaki mafuta Kuwa vinanenepesha wengi wao huwa ni watumiaji wa Wanga sanaaa, mtu anakula nyama na pombe au nyama na chips au ugali na samaki na akinenepa anadhani ni nyama ndio imemnenepesha Aiseeh tuwe makini Sana na kila tunachokifanya na aina ya vyakula tunavyokula #msemakweliafyatips #kitambi #foryou #nyama #biriani