Siko zote Nakuombea Dua Mwenyezi mungu atukutanishe peponi Kaka yangu
2025-11-18 07:12:52
30
Rahma :
shukuran, Allah akulipe kheri
2025-11-17 05:40:11
22
_macho260 :
Kuna funzo kubwa sana hapo Dr😌…kuna maisha baada ya haya ya duniani tuishi tukimtumainia Allah (s.w)yupo na Allah ndio chanzo cha kila kitu hapa duniani na ipo siku tutakutana naye.
2025-11-25 21:11:13
13
Abu Muadh :
Jazakallah kher Dr: Amein 🤲
2026-05-07 06:12:22
1
maalim Nadhiru islamic content :
Allah akbar islamic content " funzo tunatakiwa tuamini maisha baada ya kifo subuhanallah "
2025-11-28 03:29:49
4
Khadija Ally Yusuph :
visa Hi vyo unavitolewa wapi? maana vinafunza na kutupa tumaini
2026-06-27 07:58:26
0
Ally Shabani :
Allah akbar
2026-02-12 17:19:12
0
sawafy :
Asante sana kaka yangu unaongea maneno mazury na yenye uzito Allah akubariki na kukulinda kaka
2025-11-25 13:08:50
4
K BOY :
maisha daada ya fufa
2026-02-04 09:10:44
1
ASHANTI_10 🦁🇹🇿🇴🇲. :
Mashallah akhui 🥰🔥
2025-11-18 18:39:24
0
Mazuri :
Fafanua ndugu with example please. Mwenzenu nalelea katikati ya Imani yangu. Niko na masomo ya psychology, mkristo tangu kuzaliwa, ila napenda hadithi kama hazi na mafumbo yaliomo. Wanielewa?
2025-11-24 11:29:46
2
Mudadhiri Rajabu Ibrahim :
mashaalah allah atusamehe makosa tulio nayo natutakao kufa nayo
2026-01-19 07:15:43
1
Masharro Gabmic :
Allah akujaalie pepo akhy Juhudi zako si ndogo katika imani
2026-03-19 00:27:30
0
ms zena❤🇹🇿🇭🇹 :
ni kuna maisha baada ya dunia na tuamin kuna allah na tuish tukiamin kuna maisha baada ya dunia shukran kaka allah akulioe kher🙏
2025-11-30 06:34:13
1
Subra ina malipo :
ahsanta bro kweli Kuna mungu umenifurahisha
2025-11-18 16:59:26
1
rayuu :
mashallah jazakallahu khaira
2026-01-05 19:38:20
0
Asuu!!! :
maisha baada ya kifo tumbon ni Dunia na mama ni mwenyez Mungu
2025-11-27 22:52:28
1
BSM :
Allah akbar
2025-11-29 20:21:24
1
dansonstudio :
dah
2025-12-09 23:10:17
0
muhy@1 :
Allah atuongoze sote
2025-12-24 15:50:44
0
Sarah gyal :
Nimeelewa kua kuna kifo na mungu yupo na pia dunia inaisha