@paza_sauti_media: Mamalaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema si vyema na ni kosa kisheria kufanyiwa 'wiring' ya umeme na fundi asiye na leseni ya EWURA "Kwasababu pia baada ya kufanya wiring huyu mtu ambaye analeseni ya EWURA anapaswa kujaza certificate 'cheti' ambacho atakuachia kopi yake. Maana yake hata siku ikitokea tatizo lolote kwenye wiring yako ni rahisi wewe mwenyewe kumtafuta fundi moja kwa moja lakini pia EWURA kama wadhibiti watakuwa na uwezo wa kumtrace fundi"

Paza Sauti
Paza Sauti
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 19 November 2025 16:47:02 GMT
1223
24
0
3

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @paza_sauti_media, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About