@acesrk.gg: BLOODSTRIKE ETERNAL SPEAR-RELIC SKIN#acesrk #bloodstrikemobile #battleroyale #bloodstrike

ACEsrk
ACEsrk
Open In TikTok:
Region: JP
Thursday 20 November 2025 04:57:13 GMT
7454
132
11
5

Music

Download

Comments

nothing13413
. :
first
2025-11-20 05:32:41
1
jamasaquino
𝓙𝓪𝓶𝓪𝓼 𝓛𝓾𝓲𝓼 :
first
2025-11-20 05:35:17
1
kcmaeb
KCB :
early
2025-11-20 05:36:48
1
crazy..steven_qe234
stev3n.comm :
proof?
2025-11-20 05:46:18
1
a.fazzy.gaming
FÀZZY :
first
2025-11-20 05:50:00
1
blaitzy1
Blaitzy:) :
same iron sights as mythic vmp?😳💀
2025-11-20 10:48:29
0
itz_methannykazz
Xievier :
☺️
2025-11-20 05:34:07
1
hekairoluizeorog
👾 :
ya papaliit ng papaliit ang mga likes mo ya a?
2025-11-22 05:48:25
0
To see more videos from user @acesrk.gg, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

AINA 5 ZA WANAWAKE WATAKAONYAKULIWA SIKU YA UNYAKUO . 1.WANAWAKE AMBAO HAWAPAMBI NYUSO ZAO KWA MAKE-UPS NA NYWELE BANDIA NA MAWIGI,HERENI, SURUALI ( women who do not paint their faces,use artificial hairs ,wigs) Imeandikwa  1 Timotheo 2:9 [9]Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;  • Biblia inasema si Kwa kusuka nywele. Hili neno
AINA 5 ZA WANAWAKE WATAKAONYAKULIWA SIKU YA UNYAKUO . 1.WANAWAKE AMBAO HAWAPAMBI NYUSO ZAO KWA MAKE-UPS NA NYWELE BANDIA NA MAWIGI,HERENI, SURUALI ( women who do not paint their faces,use artificial hairs ,wigs) Imeandikwa 1 Timotheo 2:9 [9]Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; • Biblia inasema si Kwa kusuka nywele. Hili neno "SI KWA " ,Bwana Yesu anakataza wanawake wasitumie mapambo ya uzuri mfano hereni mikufu nywele bandia na make-ups. 2.WANAWAKE WATII NA WANYENYEKEVU(women who are obedient and submissive). Imeandikwa Waefeso 5:22 [22]Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu. • Biblia inataka wanawake wawe watiifu kwa waume zao na katika Sheria za Mungu. Kama Kuna mahali unajua Huoneshi unyenyekevu kwa Mungu unapaswa kutubu na kuacha kiburi na majivuno. 3. WANAWAKE AMBAO WANAMPENDA MUNGU NA SIO ANASA ZA DUNIA(Women who are Lovers of God and not delights of the world. Imeandikwa 1 Yohana 2:15 [15]Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake. • Biblia imekataza watu kupenda Dunia na mambo yake mfano Muziki wa Kidunia,Tv za kidunia, uraibu wa mtandaoni (internet addiction), kuvaa mavazi yasiyo na maadili na viatu vya high heels . ubatili na udunia haupaswi kuonekana katika Mitindo yako ya maisha 4. WANAWAKE AMBAO WAMEJAA UTAKATIFU NA REHEMA mfano kusamehe na huruma.(Women filled with holiness and mercy ) Imeandikwa 1 Petro 3:1-5 [1]Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno; [2]wakiutazama mwenendo wenu safi, na wa hofu. [3]Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi; [4]bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu. [5]Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu, na kuwatii waume zao. • Biblia inataka mwanamke abaki kwenye asili yake na atunze utakatifu mbele za Mungu na kanisa 5. WANAWAKE WANAOMCHA MUNGU (Women who fear God) NA WANAPENDEA ZAIDI UKWELI. Imeandikwa Mithali 31:30 [30]Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa. • Biblia inasema uzuri ni ubatili na sio wa Milele Epuka kuabudu uzuri wako na kukataa kukaa kwenye mapenzi ya Mungu ukawa Jiwe Likwazalo kwa Wanaume dhaifu wanaokutamani kwa sababu ya uvaaji wako. HITIMISHO Mwanamke hata kama unamtumikia Mungu lazima ulitii Neno la Mungu na usifanye kile unachotaka Bali wewe litii Neno la Mungu na tunza utakatifu. Usije laumu kwa nini Bwana Yesu atakuacha. Lazima ufuate mapenzi ya Mungu. Shalom #ugandatiktok #kenyantiktok🇰🇪 #tanzaniatiktok

About