@al.akhi.naasir7: Namna sahihi ya kutawadha

Al Akhi Naasir
Al Akhi Naasir
Open In TikTok:
Region: KE
Friday 05 December 2025 10:48:36 GMT
896255
54505
1153
10656

Music

Download

Comments

halima.mohammed849
Halima Mohammed 💞 :
Assalamualaikum,naomba niulize mama mjamziko anaruhusiwa kuswali?
2025-12-05 19:11:12
55
hidaya.rashidkamb
Hidaya Rashidkambi :
Ostadi mm Niko n swali jee inaswihi mtu kuthwadha hadi ukifika kwa miguu umevaa socks Namaanisha yaani asivue socks
2025-12-06 17:04:31
8
mimaa9925
mima bby🩷 :
warabu mi najua wajisumbua coz awashiki udhu mtu yuatoka usingizini tayar yuaswali najionea vituko🤣🤣🤣🤣🤣
2025-12-05 21:18:59
42
ouhibuk691
Habib Cars :
Hapo kwa Bismillah na kupandisha maji puani mwenyezi mungu atusamehe
2025-12-08 13:51:33
19
abdrahamanimasare
abdrahamanimasare :
we mwenyewe umekosea shekh maji ukipandisha puani inatakiwa utoe kwa mkono wa kushoto shekh 🙏
2025-12-06 12:33:37
13
mimer727
Mimer :
kwahy kichwa na masikio unapangusa mara moja
2026-01-20 12:54:10
5
ally.mohammed691739003
Mohamed limbalile :
umenifuza kitu
2025-12-07 12:43:48
5
user2346863480666
Nafisa :
assalamu laeikum sheikh mimi ninashida sijuwi kujisalisha samaani
2025-12-06 23:23:33
6
yunusmukhtar8
subbaan :
Ashahadu Allah ilaha ila Allah waashahadu Ana Muhammada Abduhu wa rasulaah Allahuma jacalna minaltwahirin, Allahuma jacalna minal swalatul mustaqiin hii ni duca baadaya kutawadha🤲♥
2025-12-06 07:15:51
16
ashley64754
AA :
Allah akuzidishie kaka na akupe umri mrefu
2025-12-05 14:42:02
10
killah____b
killah_b. :
Allah akulipe kwa mafundisho yako
2025-12-07 09:28:43
6
kingaluxhaka395
Kingalu Xhaka :
múng akupe umri mrefu xhekhe.
2026-01-06 09:00:19
8
zainasaid11
zainabsaid12 :
asalm Alkm sasa ukiwa choni je utaweza kutaja jina n mwenyezi mungu?.
2025-12-09 19:30:48
7
princess.warda8
Princess warda :
je unaruhusiwa kuongea wakat wa kutia udhu
2026-01-11 09:48:00
5
salimdestro17b047
Salim Destro :
WALE WA KUTAYAM NA KUNA MAJI???
2025-12-06 20:07:23
5
user6174214618605
alitsmba :
bro good work Allah akulipe Kwa hilo
2025-12-06 03:34:34
5
mwalimu624
mwalimu :
shekh mtu yuaruhusiwa kutia udhu chooni namaanisha kutawadha.?
2025-12-08 19:59:09
5
rahmamsuya958
rm :
wakati unatawadha hamna maneno yakuongea?
2025-12-07 13:43:26
8
ramaamkuu
ramaamkuu :
kwnza ukiwa na ndevu inatakikana maji ishibe
2025-12-05 11:33:22
7
user3819799927727stauboy
stau boy :
je ukitoka kuoga unaruhusiwa tena kushika uzu
2025-12-06 07:39:10
7
_kakabraza_
KB :
Na je ukiosha maramoja kila sehemu udhu wako pia unaswihi🤔
2025-12-06 00:01:27
10
stubbornkidd26
Kacm Tcha :
Jameni Manchester United imefanya nini😂
2025-12-05 16:46:20
7
faty01802
Faty karembo :
kwaio kichwa ni mara Moja. what if utapangusa mara tatu
2025-12-07 12:10:31
7
smart.boy3769
smart boy :
elimu ni pana sn faradh za udhu ni 6 hiyo ya kutosema bismillah udhu haupo ni kwa dhehebu la imamu gn ? kwa faida
2026-01-14 03:45:07
4
mwanajumma
glam maning ni :
mashaallah allah akuongoze
2026-01-21 14:42:26
2
To see more videos from user @al.akhi.naasir7, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About