@manhajisahihitv: 🕌📢 Uislamu na Maandamano Uislamu umeleta misingi ya amani, utiifu kwa viongozi, na kulinda maslahi ya umma. Maandamano ambayo huleta fujo, uharibifu, chuki, au kugonganisha watu hayakubaliki katika dini, kwani yanafungua milango ya fitna na madhara makubwa kuliko manufaa. Allah Mtukufu amesema: “Na fitna ni mbaya zaidi kuliko kuua.” (Al-Baqarah: 191) Na Mtume ﷺ akasema: “Atakayechukiwa jambo kutoka kwa kiongozi wake, basi asivunje utiifu.” (Muslim) Wanazuoni wengi wanasema: Njia sahihi ya kutatua matatizo ni kwa nasaha ya siri, subira, na kufuata mlango wa wanazuoni — si kuamsha fitna za mitaani. Amani ni neema, na kuilinda ni wajibu.
MANHAJI SAHIHI online tv✨🌙
Region: TZ
Saturday 06 December 2025 18:55:19 GMT
Music
Download
Comments
wamburaemmanuel :
mwambie mama yako
2025-12-07 03:08:45
0
unity security :
kataa maandamano
2025-12-07 04:13:54
0
namlungu :
maandamano kwisha,waislamu tumekataa
2025-12-16 18:28:00
0
To see more videos from user @manhajisahihitv, please go to the Tikwm
homepage.