@fundi_juma_masofa: Habar boss >>> asante kwa kuwasiliana na Fundi Juma mawasiliano 0764780001 Bei zetu ni Sofa ya watatu 250,000 sofa ya watu wawili 160,000 sofa ya mtu mmoja 120,000 Sofa set zipo 3:3:1:1 bei 750 3:2:1:1 bei 650 3:2:1 bei 540 2:2:2 bei 480 2:2:1 bei 450 Meza ya sofa 80 Sofa ya L ya wa 4 ni 350 Sofa ya L ya wa 5 ni 450 Showcase tv 140 na 190 Kitchen cabnet 140, 180 na 280 Kabati za nguo & vyombo 280 Usafir juu yangu ndani ya Dar unalipia ukipokea Karibu sana boss wangu