@thienthantb: Hôm nay có 1 thiên thần đây ạ #thienthantaybac #nkaujhmoob #xuhuongtiktok #dance

Thiên Thần Tây Bắc 💃
Thiên Thần Tây Bắc 💃
Open In TikTok:
Region: VN
Tuesday 06 January 2026 23:46:35 GMT
8650
340
6
6

Music

Download

Comments

dy46n3ijsedi
Vịt Cây Sấu :
mình cùng nhau follow chéo nhé em gái Thiên Thần Tây Bắc 💃🏻 xinh xắn dễ thương duyên dáng dịu dàng và đáng yêu ơi 😘😘😘💕💕💕💕💕💕
2026-01-08 12:07:03
1
nguyenhung3010
Trai Tây Bắc ĐB :
💕💕
2026-01-07 02:48:02
2
tenhloan11
𝑻𝒆𝒏𝒉𝑳𝒐𝒂𝒏 𝑷𝒖🐻‍❄️ :
🥰🥰🥰
2026-01-07 16:26:31
1
hu.long824
kiệt :
😊😊😊
2026-01-07 02:29:44
2
giovannistaffa03
giovannistaffa03 Italy🇮🇹 :
👏👏👏
2026-02-02 14:58:28
0
To see more videos from user @thienthantb, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Serikali imetoa siku 21 kwa wamiliki wote wa vyombo vya moto nchini kuhakikisha wanaviingiza kwenye Mfumo wa Uratibu wa Ukaguzi wa Vyombo vya Moto (MIMIS) na kuvikaguliwa kwa mujibu wa sheria kabla ya Julai 31, 2026, kuelekea kuanza kwa operesheni maalumu ya ukaguzi wa vyombo hivyo. Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Ayoub Mohammed Mahmoud, baada ya kikao cha Kamati ya Uongozi ya Baraza la Taifa la Usalama Barabarani kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Ayoub amesema tathmini iliyofanywa na Baraza hilo imebaini kuwa asilimia 46 ya changamoto za usalama barabarani nchini zinatokana na uzembe wa madereva, hali iliyosababisha Serikali kuanzisha operesheni maalumu ya ukaguzi wa vyombo vya moto ili kuimarisha usalama barabarani. Ameeleza kuwa baada ya kumalizika kwa muda wa siku 21 uliotolewa, Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani kitaanza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wamiliki wa vyombo vya moto ambavyo havitakuwa vimekaguliwa, ikiwemo kuwatoza faini kwa mujibu wa sheria. Kwa upande wake, Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, SACP William Mkonda, amewataka wamiliki wa vyombo vya moto kutumia muda uliotolewa kukamilisha ukaguzi wa vyombo vyao kupitia mfumo wa MIMIS kabla ya kuanza kwa operesheni hiyo. Mkonda amesema huduma za ukaguzi pamoja na msaada wa matumizi ya Mfumo wa Uratibu wa Ukaguzi wa Vyombo vya Moto (MIMIS) zinaendelea kutolewa katika maeneo mbalimbali nchini ili kuwawezesha wananchi kutimiza matakwa ya sheria ndani ya kipindi kilichotolewa.
Serikali imetoa siku 21 kwa wamiliki wote wa vyombo vya moto nchini kuhakikisha wanaviingiza kwenye Mfumo wa Uratibu wa Ukaguzi wa Vyombo vya Moto (MIMIS) na kuvikaguliwa kwa mujibu wa sheria kabla ya Julai 31, 2026, kuelekea kuanza kwa operesheni maalumu ya ukaguzi wa vyombo hivyo. Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Ayoub Mohammed Mahmoud, baada ya kikao cha Kamati ya Uongozi ya Baraza la Taifa la Usalama Barabarani kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Ayoub amesema tathmini iliyofanywa na Baraza hilo imebaini kuwa asilimia 46 ya changamoto za usalama barabarani nchini zinatokana na uzembe wa madereva, hali iliyosababisha Serikali kuanzisha operesheni maalumu ya ukaguzi wa vyombo vya moto ili kuimarisha usalama barabarani. Ameeleza kuwa baada ya kumalizika kwa muda wa siku 21 uliotolewa, Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani kitaanza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wamiliki wa vyombo vya moto ambavyo havitakuwa vimekaguliwa, ikiwemo kuwatoza faini kwa mujibu wa sheria. Kwa upande wake, Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, SACP William Mkonda, amewataka wamiliki wa vyombo vya moto kutumia muda uliotolewa kukamilisha ukaguzi wa vyombo vyao kupitia mfumo wa MIMIS kabla ya kuanza kwa operesheni hiyo. Mkonda amesema huduma za ukaguzi pamoja na msaada wa matumizi ya Mfumo wa Uratibu wa Ukaguzi wa Vyombo vya Moto (MIMIS) zinaendelea kutolewa katika maeneo mbalimbali nchini ili kuwawezesha wananchi kutimiza matakwa ya sheria ndani ya kipindi kilichotolewa.

About