@gaditv: Taharuki imeibuka baada ya mtoto wakiume mwenye umri wa miaka 12 mkazi wa kijiji cha Oldadai kata Sokon II wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, kukutwa akiwa amefungwa mikono na miguu na kuwekwa kwenye jua, kwa tuhuma za kuiba maandazi kwenye duka lililopo jirani na nyumbani kwao wilayani humo. Mashuhuda wa tukio hilo wakizungumza na waandishi wa habari January 08, 2026, wamesimulia namna tukio hilo lilivyotokea na mtuhumiwa kulazimika kujifungia ndani ya duka hilo hadi alipokuja kuchukuliwa na maofisa wa Jeshi la polisi wilayani humo. #TANZANIA #tanzaniatiktok #tanzaniantiktok🇹🇿
GADI TV
Region: TZ
Friday 09 January 2026 03:48:57 GMT
Music
Download
Comments
R_E_H_E_M_A🧸🦋Leo♌️ :
Kwani arusha iko nchi gan🤣
2026-01-09 07:32:53
317
Edson Christopher :
Sawa lakini kwa nini aibe?
2026-01-09 06:36:16
83
tina414690 :
Yaan mim mtu akiiba chakula simgusi wala naelewa balaa la njaa
2026-01-09 07:11:35
230
Miss kessy :
Nitaishi mikoa yote lkn sio Arusha jmn😳🙌🙌
2026-01-09 07:12:36
83
Neyla :
Arusha matukio kila siku mnaniniii lkn
2026-01-09 04:23:28
125
asiakasun2 :
maandaz haya haya ambayo sina ata ham nayo
2026-01-09 06:13:07
84
Christina Monyi :
Angepigwa mngesema kapigwa 😳😳hiyo ni adhabu inamtosha hata shule tunaambiwa watoto wapewe adhabu sio kupigwa…mnafuga wezi 😁😁😁😁wachaga bwana😁😁
2026-01-09 08:02:49
27
Jlastborn_ :
sema wameru mna roho mbaya🤣🤣🤣🤣
2026-01-09 08:05:53
25
Martha Ndagano :
maandaz tu jamani 😂😂
2026-01-09 07:09:59
5
macklin moyo :
yaaan arusha kila siku maandamano sijui watu hawanaga kazi zakufanya??
2026-01-09 07:08:55
18
4548787875nasra :
atakuwa alikua na njaaa
2026-01-09 07:29:46
7
Miss Right😊🇰🇪🤝 :
Yanii Arusha apana jaman🙌🏾
2026-01-09 07:08:29
11
Khadija Hamadi :
nimimba inamplkesha
2026-01-09 07:07:59
5
MRS DULLAH💞 :
NILIJUA TU NI ARUSHA😂😂😂
2026-01-09 13:04:01
9
fatma :
eee watu Arusha muogopeni Mungu
2026-01-09 07:19:59
6
bussineser online :
yani wameru uwa wana roho mbaya so powa
2026-01-09 18:27:11
7
_Ms_meena🐾🥵 :
Diwan ni muhaini achinjwe sikukuu ya eid😌😂😂
2026-01-09 07:21:36
16
neema :
wamama pia muache kuzurura pikieni watoto wenu familia zenu be care
2026-01-09 11:08:53
9
Sally 🍇 :
Huend arusha ni nchi ndan ya nchi ya Tanzania maana si kwa matukio hayo
2026-01-09 13:26:55
9
chia :
duh vichogo wanaroho mbaya hawa. maandazi tu.
2026-01-09 07:03:29
7
UMMU LUQMAN :
yan mwizi wa maandazi anafatwa na jeshi🤣
2026-01-09 06:27:15
22
MISS MJESHI❤️ :
mandaz yameleta kizaa zaa😂😂😂
2026-01-09 05:41:01
29
Cleopatra :
isingekuwa Arusha ningepasua simu😅😅😅hawa watu nachok mm
2026-01-09 18:04:45
5
Sashaseanfred :
Kila mtu nikamfungua nikamfungua tumuamini nan ssa
2026-01-09 07:02:28
5
Khadija Hamadi :
jmn heeeh kwnn arushaa
2026-01-09 07:02:32
5
To see more videos from user @gaditv, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.