@sharif_asiyejulikana: Kitu kinachotisha na kushtua katika mahusiano na watu ni nia zao. Lau tungejua nia za baadhi ya walio karibu nasi, basi tusingetamani hata kuwaona. #kenyantiktok🇰🇪 #zanzibar #tiktokviral #tanzaniatiktok #tiktok
Sharif Asiyejulikana
Region: TZ
Friday 09 January 2026 21:27:34 GMT
Music
Download
Comments
Bihayna💞 :
Mwenyezi Mungu atujalie kujua mawazo na Nia za watu tunaokutana🫂🫂 nao kwenye maisha yetu
2026-01-10 14:26:32
8
abdallah :
ni kwer mashallah weng wetu tume ficha meng juu ya upendo wa kwer na maanish upendo wa kwer n mtu kuoa na kuolew inshallah
2026-02-22 12:44:21
1
Binti_Naseeb🌏🦒 :
Aki WALLAH kuna watu hata tusingewasogelea hasa marafiki🥹
2026-01-10 08:02:19
5
Poy Arso Poy :
2.Anacho kitaka kwangu+ kusudio lake kwangu.
2026-01-19 09:19:24
3
Agnes Peter :
Mungu nisaidie kujua Nia na mawazo ya wtu juu yangu inauma sana
2026-01-12 12:59:36
1
A❤️ :
so true
2026-01-10 22:23:18
2
hans Mohammed :
kweli kabsa
2026-01-10 13:31:31
1
Annie Kalush :
true
2026-01-12 10:12:42
1
Jasmin Shaibu :
🥰
2026-01-19 18:43:12
1
Zeera beaut point :
haiwaa
2026-01-10 07:47:52
2
RADY K❤️ :
yaaan Mungu nikumbuke
2026-01-13 12:01:49
1
madam :
sawa kabisa
2026-01-15 09:10:32
1
To see more videos from user @sharif_asiyejulikana, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.