@adamalmas190: Stroke ni tatizo la dharura linalotokea pale damu inaposhindwa kufika vizuri kwenye ubongo. Mara nyingi huanza na dalili ndogo kama uso kuvia upande mmoja, mkono au mguu kulegea ghafla, kuzungumza kwa shida, kuona mara mbili au kizunguzungu kikali. Ukiona dalili hizi, hata kama zinaonekana ndogo, wahi hospitali au piga simu ya dharura mara moja. Hatua ya mapema huokoa maisha na kuzuia ulemavu wa kudumu.#stroke#healthy#prevention#healthytips#foryou

ALMASI WELLNESS
ALMASI WELLNESS
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 13 January 2026 15:41:57 GMT
8407
37
0
0

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @adamalmas190, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About