@jacobhoja: Dhahabu huyeyuka kwenye joto la takribani 1064°C. Uchafu kama shaba, chuma, silver unaweza hutenganishwa kwa kutumia: Flux (borax), hii huongeza usafi (purity) ya dhahabu. Kisha hubadilishwa umbo baada ya kuyeyushwa kuwa gold bars. #dhahabu #uchimbajimadini #goldminingtz #madini #eastafricabusiness
Brother sorry mie nilikuwa naswali hapa , hivi katika ushauri wako juu ya baishara ya dhahabu , ni bora mtu ununue nakuuza dhahabu au kuchimbaa na kuuza , ipi boraa???🙏🙏
2026-01-25 06:11:35
0
To see more videos from user @jacobhoja, please go to the Tikwm
homepage.