nakumbuka mwez wa 6na wa7 nilipitia kipindi kigumu nikaanza maombi ya saa9 usiku nikamwambia MUNGU naombamwez wa 9 niwe na kazi
Tareh 30/8 nikapigiwa simu ya kazi hakika MUNGU ni mwaminifu sanaa saiz nipo kazin 😭🙏🙏🙏🙏🙏
2026-01-27 09:26:41
279
Salome Mtandala :
Mwenyezi Mungu nisaidie nianze hii leo.,nitarud na ushuhuda..Amina
2026-01-27 13:11:02
41
Herìi :
mtu unaweza kuamka saa 9 na ukashindwa kuomba pia.. naomba mstar namna ya kujifunza kuomba
apostle asante sana kwa neno la kutumia chumvi kwenye biashara nimetumia mistari kuomba na chumvi kwa biashara na biashara yangu inaisha kilasiku mungu akubariki 🙌🙌🙌 uendelee kutujuza zaid na zaidi🙏🙏
2026-01-27 17:31:40
5
eskim :
mungu niondolee roho za madeni kudharauliwa na watu wakaribu mungu naombea biashara yangu ikaweze kuongezeka ndoa yangu ikapate kuwa na amani kuanzia saa hii mungu nikuone wewe🙏🙏