@fainess_health_clinic: ❣️Hupunguza asidi tumboni Tango lina maji mengi na lina kiwango cha chini cha asidi, hivyo husaidia kupunguza muwasho wa asidi tumboni na kooni. 🥒👉 Hutuliza koo na umio Kwa kuwa ni laini na lenye maji mengi, tango husaidia kutuliza koo linaloungua kutokana na reflux. 🥒 👉Huboresha mmeng’enyo wa chakula Tango lina nyuzinyuzi (fiber) kiasi, ambazo husaidia mmeng’enyo na kupunguza shinikizo tumboni linaloweza kusababisha reflux. 🥒 👉Huzuia kiungulia (heartburn) Kwa wagonjwa wengi, kula tango husaidia kupunguza hisia ya kuwaka kifuani baada ya kula. 🥒 👉Husaidia kudhibiti uzito Uzito mkubwa unaweza kuongeza asid reflux. Tango lina kalori chache, hivyo ni tunda zuri kwa udhibiti wa uzito. 🌹 Nitafute kwa tiba na ushauri zaidi;255;773;14;;65;60; #acidreflux #tanzaniantiktok🇹🇿 #yourpage #canada #usa