@cute_mimuh4: ‎🔎 PID ni nini? ‎Ni maambukizi kwenye via vya uzazi vya ndani vya mwanamke (mfano kizazi, mirija ya uzazi, na ovari). Mara nyingi husababishwa na maambukizi ya gonorrhea au chlamydia ambayo hayakutibiwa. ‎ ‎Sababu kuu za PID 👇 ‎✅ Magonjwa ya zinaa hasa chlamydia na gonorrhea ‎✅ Kuchelewa kutibiwa UTI au maambukizi ya uke ‎✅ Ngono bila kinga mara kwa mara ‎ ‎Dalili za PID 👇 ‎⚠️ Maumivu ya tumbo la chini ‎⚠️ Uke kutoa uchafu wenye harufu mbaya ‎⚠️ Maumivu wakati wa tendo la ndoa ‎⚠️ Homa na uchovu ‎⚠️ Maumivu wakati wa kukojoa ‎ ‎ Madhara ya kutopata matibabu 👇 ‎🚨 Kushindwa kushika ujauzito (infertility) ‎🚨 Ujauzito nje ya mfuko wa uzazi (ectopic pregnancy) ‎🚨 Maumivu ya muda mrefu ya nyonga ‎🚨 Mirija ya uzazi kuziba ‎ ‎Note: chukua hatua Leo ili uokoe afya yako#usa🇺🇸 #fyp #healthy #goviral #canada_life🇨🇦 #mario

@Shamimu tz
@Shamimu tz
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 30 January 2026 05:40:11 GMT
1462
6
0
13

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @cute_mimuh4, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About