@zulkifumtondo: Shule haikupi ujuzi halisi wa maisha ya mtaani. Elimu ya kiafrika inatengeneza vijana kuwa maandazi. Hiki ni chanzo kikubwa cha umasikini, vijana wavivu, wasiowajibika, wenye ndoto zisizokuwa na malengo na wasiokuwa wazalendo. Hivyo usizegemee sana elimu ya darasani. Anza leo kujifunza ujuzi mpya wa maisha ya kitaa. #mwalimuwavijana #successmindset #successmotivation #motivation