@maridadifarm0: Funza wa inzi chumaa wakiwa wandaliwa kuja kutumika kulishia kuku..... Funza wa inzi chumaa ni Moja ya cheap protein source ambayo mfugaji anaweza akatengenezaa mwenyew nyumbani hivyo kumsaidia kupunguzaa gharama ya Chakula..Kwa sababu gharama kubwaa ya vyakula vya mifugo kwenye kutengenezaji inamezwaa na ingredients za protein ili Chakula kiwe boraaa... Hivyo ni vyema mfugaji kutambua namna nzuri ya kuweza kupunguzaa gharama hio Kwa kutengeneza vyanzo vya protein kama funza wa inzii chuma pamoja na azolla.. Follow @maridadi_farm 0742825353