@dijahnaafya2: Mmeng’enyo wa chakula ni mchakato ambao mwili hutumia kuvunja chakula tunachokula ili kibadilike kuwa virutubisho vinavyoweza kufyonzwa na kutumiwa na mwili kwa nguvu, ukuaji na afya. Mmeng’enyo wa chakula huanzia wapi? • Mdomoni – chakula hutafunwa na kuchanganywa na mate • Tumboni – asidi na enzymes huvunja chakula zaidi • Utumbo mdogo – virutubisho hufyonzwa • Utumbo mkubwa – maji hufyonzwa, uchafu hutengenezwa kuwa choo

DIJAH NA AFYA
DIJAH NA AFYA
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 04 February 2026 17:08:44 GMT
518
14
0
0

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @dijahnaafya2, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About