@nuktatanzania: Mbunge wa Viti Maalum, Nassirya Alia leo Februari 05, 2026, ameibua hoja bungeni kuhusu ufinyu wa wahudumu wa afya wenye uwezo wa kutafsiri lugha ya alama, hali inayowakwamisha watu wenye ulemavu wa kusikia kupata huduma bora za afya. Akichangia hoja ya hotuba ya mipango amesema changamoto hiyo inapelekea kutokuwepo kwa usiri wa kutosha kati ya mgonjwa na mhudumu wa afya, kwani wagonjwa hulazimika kutumia watu wa pembeni kama wakalimani, jambo linalokiuka haki yao ya faragha na usiri wa taarifa za kiafya. Ameisisitiza Serikali kuchukua hatua za makusudi kuongeza wahudumu wa afya wenye ujuzi wa lugha ya alama ili kuhakikisha watu wenye ulemavu wa kusikia wanapata huduma za afya kwa usawa, heshima na kwa kuzingatia maadili ya taaluma ya afya.
NuktaTanzania
Region: TZ
Thursday 05 February 2026 17:11:39 GMT
Music
Download
Comments
Albajun :
ama kweli mungu hakupi kilema akakunyima mwendo mashallah hoja zake zina mashiko
2026-02-06 06:20:40
37
Africa beauty 🌹💕 :
yeah mtafsiri hata akidanganya huwez bisha
2026-02-06 10:14:34
17
Kalila :
Tanzania imepiga hatua kubwa sana kwenye diversity Mungu isimamie nchi yetu nzuri🇹🇿
2026-02-06 08:37:11
11
Bob nyankani :
amezid mbunge wetu wa RORYA Jafari CHEGE
2026-02-06 06:24:10
11
magazine Logistics ltd :
aliombaje kura??
2026-02-06 08:45:47
2
meneja :
kumbe hii ni lugha kama lugha zingne ni vema serikal ikafundisha watu wote ili tuelewana 🙏
2026-02-06 12:03:45
9
Fatuma juma :
napenda anavyo Fanya japo celewi 💙
2026-02-06 12:45:54
2
Dorice Samwel :
umetuwakilisha vyema
2026-02-06 02:34:16
3
Valentine✈️ :
huu ndio uwakilishi wa makundi maalumu
2026-02-05 22:04:59
5
BUNAZI FINEST :
huyu mbunge nimempenda sana♥️♥️
2026-02-06 10:22:57
3
Amos Mwashambo :
hizi ndio point Sasa mbunge unatakiwa kuwasilisha hivi💪
2026-02-05 20:18:46
5
Bety Chamame :
Mungu wetu sote na serikali ni yetu wote
2026-02-06 01:34:20
2
Abuu Reelan :
yaani anapoint kuliko hao wenye uwezo kusema
2026-02-06 08:22:28
2
SAID BAKAR,MWENEZI :
wakalimani kama hawa ndio tunawahitaji
2026-02-06 02:55:32
4
Optimistic :
ameongea point sana
2026-02-05 20:49:22
2
Laila Chum :
allah Akbar mashaallah good point
2026-02-06 11:58:34
2
Agrovet kisese :
mungu akutunze dada angu kwani hoja zako ni nzr sana kwa hakika umewakilisha vyema watu wenye ulemavu mungu akutunze🙏
2026-02-06 13:40:38
2
Man of Business𓃵 :
Congratulations 🎊 👏 💐 🥳
2026-02-05 18:08:31
2
Zainab Fadhil :
hongera sana sauti imesikika
2026-02-06 01:15:55
2
Henam_Cosmetics :
huyu mshahara wake wangawana na mkalliman
2026-02-06 15:28:37
3
0782838861 :
Nimependa 🥰
2026-02-06 15:27:18
1
ntundu jr official :
ila kusifia kupo pale pale
2026-02-06 17:23:03
1
Alhikma bin Nassor :
Huyu mama mpeni mkuu wa mkoa nmempenda sana
2026-02-06 16:01:59
1
Teddyk :
neema imetajwa bungeni leo
2026-02-06 15:49:06
1
iweninahuruma@tzluka6:36 :
Mh. mbunge kanifanya nipende lugha ya alama ♥️♥️♥️
2026-02-06 10:47:47
1
To see more videos from user @nuktatanzania, please go to the Tikwm
homepage.