@minah.othumani: Na sio rahisi kumpoteza mzazi🥺na aijawahi kuwa rahisi kumpoteza mzazi😢na aitokuwa rahisi kumpoteza mzazi 😔 Allah awape wazazi wetu umri mrefu🤲🏽na waliotangulia awasamehe madhambi yao 🤲🏽 na awaondoshee adhabu za kabri🤲🏽 na awapatie janna yake njema 🤲🏽❤️