@ibraah_food_suplement: Uwezo wa mwanaume kumtungisha mwanamke mimba unategemea ubora wa mbegu zake. Mbegu bora zinahitaji kuwa na wingi wa kutosha, mwendo mzuri na afya imara. Mtindo wa maisha, lishe sahihi na afya ya mwili kwa ujumla vina mchango mkubwa. Anza kujali afya ya uzazi mapema kwa kizazi chenye afya bora. 🌱 #ibraahfoodsuplement #MbeguBora #AfyaYaUzazi #UzaziKwaMwanaume #tanzania🇹🇿