@prophetrogersministry: TUMIA MAJIVU KUMPIGA ADUI YAKO #tanzaniantiktok🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #usa🇺🇸 #germany #fyp

prophet Rogers Ministry
prophet Rogers Ministry
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 09 February 2026 04:31:16 GMT
1060062
30835
1156
12092

Music

Download

Comments

winnie.winnie635
winie Winnie :
kuna adui wa nyumbani amefanyia nilie 15 years hii mwaka atanikoma 😂😂😂
2026-02-09 10:52:31
116
pharisleah1
Wa Molly :
Kwani ni kesho,,nishafanya guys acha ningoje matokeo
2026-02-09 13:32:02
36
terrymuriuki
super lady :
kama Kuna kitu naogopà kwa bibilia ni Mathew 5:22-27
2026-02-10 18:20:38
35
user4319060184801
mudricky :
nilifanya ibada ya kioo nimevuka kwenye changamoto ya uchumi
2026-02-10 16:53:13
34
proff6979
brigadier :
it only works when your element is air
2026-02-09 12:21:29
33
user3156008578728
tina my :
babaangu kama mtu unamdai inakuwaje afu ataki kukulipa
2026-02-09 06:42:44
19
teamtapas1
malkia wa bongo Africa 🌍 :
Hawa wenye wanasema prophet anafunza uchawi wao ndo wachawi
2026-02-09 06:15:02
17
delilakajie
nyar Awendo :
sasa hiyo karatasi una weka ama unaeka kwa bakuli?? c elewi hapo kwa otass😅
2026-02-10 15:11:53
16
hellen99069
Hellen🌹🌹 :
karatasi inatumika kufanya nn proff
2026-02-09 05:28:21
15
user7945228261427
jolly lei :
hapa hamna uchawu ni wapigwe tu
2026-02-09 05:50:37
14
rosy28766156
msichana wa catechist :
Hakuna uchawi hapo, mwenye analalamika ni wale wametuteza haki , prophet God protect you and bless you continues
2026-02-09 17:40:27
13
wilsonlorry601
wilsonlorry601 :
Huwa ninatabia ya kuamini watumishi wa Mungu Unauhakika mchungaji itafanya kazi kweli maana watanikoma
2026-02-09 15:46:29
11
jeyekati
Jessica Ekati ke 🙏 :
Nimeamini katika jina la Yesuuu😂😂😂
2026-02-09 10:11:34
11
user2335618187981
8680 :
usimuache mchawi kuishi imeandikwa
2026-03-05 09:36:30
9
annahainesy
Anna Hainesy :
iyo karatasi unaandika jina ama unaichoma
2026-02-09 04:36:34
9
user6167521911232
Adrienne Zahiga :
The blood of Jesus Christ react better than that. My greatest Lord will deal with all my enemies and he has done it in the past.
2026-02-10 02:34:10
9
barbramicheal
barbramicheal :
yani yule adui yangu anaejijua alinifanyia ubaya nae sasa ataisoma namba ndio muda wakumlipa mana nimelia miaka 10 atanikoma ngoja🙏
2026-02-10 23:14:43
7
pesh5514
IVegin kalac :
I did it today, waiting for results 🥰🥰🥰
2026-02-10 19:07:42
6
user25942978595175
alibaba :
Amen pastor walinitesa sana naenda kufanya Vile vile God bless you
2026-02-09 10:11:52
6
pesh5514
IVegin kalac :
I love you prophet 🥰🥰🥰
2026-02-09 16:50:11
6
carinenelly
carinenelly :
unaongea ukweli mungu akubariki baba👋👋
2026-03-01 20:08:13
5
hfhdur.jduur
Hfhdur Jduur :
amen
2026-02-09 16:39:22
5
user9953707788048
bablai :
huu sio uchawi ni maaarifa anatupa maaana hata maaandiko yanasema watu weng wanaangamia kwa kukosa maaarifa,sasa nimeipenda hiyo nimeisev hii video ni
2026-03-25 13:20:34
5
celetinebarasa
celiceli :
ukweli kabisa pastor barikiwa sana
2026-02-10 17:16:33
4
user47762396522406
user47762396522406 sophie :
hello.ata kama n karatasi ya kitabu.au
2026-02-18 15:50:01
4
To see more videos from user @prophetrogersministry, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

الصلاة عمود الدين وأركان الإسلام الخمسة وتعد فرضاً على كل مسلم ومسلمة. أما عن كيفية الصلاة الصحيحة، فيجب الإشارة إلى أن الصلاة بحد ذاتها هي برنامج رياضي صحي للعظام والمفاصل والعضلات، لكن
الصلاة عمود الدين وأركان الإسلام الخمسة وتعد فرضاً على كل مسلم ومسلمة. أما عن كيفية الصلاة الصحيحة، فيجب الإشارة إلى أن الصلاة بحد ذاتها هي برنامج رياضي صحي للعظام والمفاصل والعضلات، لكن "الصلاة الصحيحة" تتطلب أداءها بخشوع واطمئنان، مع التركيز على استقرار وحسن أداء الأركان كالسجود والركوع. خطوات الصلاة الصحيحة: النية تكون محلها القلب، ولا تحتاج إلى تلفظ. تكبيرة الإحرام: ترفع اليدين بمحاذاة الأذنين وتقول "الله أكبر". القيام تقرأ الفاتحة ثم ما تيسر من القرآن الكريم. الركوع تخشع وتردد سبحان ربي العظيم. الاعتدال من الركوع تقف مستقيماً. السجود يسجد المصلي مرتين في كل ركعة مع الاستناد على المساجد السبعة (الجبهة، باطن الكفين، الركبتين، إبهامي القدمين) وتردد سبحان ربي الأعلى. الجلوس بين السجدتين تجلس جلوساً مستقراً قبل الانتقال إلى السجدة الثانية. التشهد تقرأ التشهد في آخر الركعات. فوائد الصلاة الصحية: تزيد من الطمأنينة والثقة بالله وتزيد من الشعور بالسكينة والطمأنينة والثقة بالنفس، وتنهي عن الفحشاء والمنكر، وتمنع الإنسان عن ارتكاب الذنوب والمعاصي. أفضل برنامج رياضي: تعتبر الصلاة برنامجاً رياضياً ممتازاً لصحة المفاصل والعظام والعضلات. ما هي أهم المعلومات عن الصلاة؟ الجواب: الصلاة عمود الإسلام، وهي أعظم الفرائض وأهمها بعد الشهادتين، ومن تركها فقد كفر – نعوذ بالله من ذلك – يقول النبي: "العهد الذي بيننا وبينهم الصلاة، فمن تركها فقد كفر"، ويقول أيضاً: "بين الرجل وبين الكفر والشرك ترك الصلاة". #القرآن_الكريم_راحة_سمعك_القرآن #القرآن_الكريم #قرآن #سعد_الغامدي

About