@willy.kuku.farm: 🔥 MIXER MACHINE 300KG KWA SAA — NGUVU YA UZALISHAJI WA HARAKA! 🔥 Unataka kuchanganya chakula cha mifugo/kuku kwa ubora na muda mfupi? Hii ndio mashine sahihi kwa kazi kubwa na matokeo ya uhakika ✅ Uwezo: 300KG kwa saa ✅ Mchanganyiko laini na sawasawa ✅ Inafaa kwa pellets, mash feed na malighafi za aina zote ✅ Inadumu na matumizi rahisi ✅ Inafaa kwa biashara na ufugaji wa kisasa Bei ya offer 2,500,000/ 📍 Tupo Makongo Juu – Dar es Salaam, karibu na Mlimani City 📞 Wasiliana nasi: 0676 464 617 #MixerMachine #FeedMixer #BiasharaYaUfugaji #FarmEquipment #WillyKukuFarm