@doctornoel: Kila mtu aliyesoma boarding amewahi kusikia hii story 😅 Kwamba wapishi wanaweka mafuta ya taa kwenye chakula ili kupunguzia wanafunzi hamu ya kufanya mapenzi. Lakini ukweli ni huu 👇 ❌ Mafuta ya taa si dawa ya kupunguza hamu ❌ Hayana uwezo wa kubadilisha homoni za mwili ❌ Hakuna ushahidi wa kisayansi unaothibitisha hilo ❌ Kuweka mafuta ya taa kwenye chakula ni hatari kiafya (Poisonous) Mafuta ya taa ni poisonous, huharibu mapafu (hasa yakivutwa), kuleta kichefuchefu, kutapika na madhara mengine makubwa. Sasa kwanini wanafunzi huhisi kama hamu inapungua wakiwa boarding? ✔️ Mazingira mapya ✔️ Ratiba kali ya shule ✔️ Uchovu ✔️ Stress ya masomo ✔️ Kukosekana kwa faragha Haya mambo yanaathiri psychology na hisia na sio mafuta ya taa.

Dr. Noel, MD
Dr. Noel, MD
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 12 February 2026 11:48:04 GMT
22910
1736
41
62

Music

Download

Comments

frank.godliving
Lord Ving👽 :
mafuta ya taa sisi tulizoea wakaanza kutuwekea OMO 😂😂
2026-02-13 05:21:57
28
ashrafshahid11
Ashraf shahid official :
Ndomaana mashoga wengi wanaanzia uko
2026-02-12 19:34:30
10
binti_abdul17
Binti Abdul🎀 :
Mama chanja aliwahi kuwawekea watoto wake😂
2026-02-12 16:32:07
5
user6943212910111
zewela :
uhalisia niupi? nini ambacho kwa <% kinapunguza ham ya tendo?🤔
2026-02-12 13:45:49
5
anielp7
Aniel p :
uuuuiiii wapishi mmeniuwaa😭😭😭😭😭
2026-02-17 06:01:45
0
delovlov
Official Delovlov :
wape mbadala wake😂
2026-02-12 11:59:25
3
don_pablo955
PABLO :
Ila Ukila mafuta unapata loss of appetite, kona zote,
2026-02-12 17:40:01
1
brandedafricasafaris
Branded Africa Safaris :
Mkuu ongeza ukubwa wa Caption next time,please
2026-02-12 13:31:13
0
user787871822757
jeison :
Kweli wametusumbua sana
2026-02-27 16:05:13
0
_deluxe.vee.009
Its. vee.70 :
in makandeeeeeè😫
2026-02-20 23:18:03
0
daniodm
Danio :
tumekula sana izo zagaa o level amd adv level😂😂
2026-02-12 21:30:40
2
me.favourite
Me favourite 🥰❤️💕 :
hahaha last session wanafunzi wangu waliniuliza Ili swali leo nimepata majibu😂
2026-03-20 16:03:52
0
linnerphillip
Africa beauty 🌹💕 :
hatukuumwa wala😂😂😂
2026-02-12 21:15:44
0
nakupenda.pia
kulwadoto8.DODOMA TZ :
sio tu shuleni mimi hua najiwekea mafuta ya taa kwenye chakula inasaidia
2026-02-13 05:19:18
3
_.njunju
Nuru🦋 :
bora uwaambieee😅
2026-03-09 14:14:45
0
doroth._5
🇲🇾🌚 :
Thank you mm nilikuwa nakula my food napata shida very sick watu wanasema it’s not poison 😭💀kwamba Nafake bora umesema 😂
2026-02-14 04:09:19
0
idefonce.nicholau
idefonce nicholaus :
kati ya mtengeneza mahudhui ya afya ww ni bora ambaye umeenda shule na unatoa fact
2026-02-14 06:14:17
1
www.tiktok.com.bertha1
AM BERTHA♓ :
sio kusikia tulifanyiwa ww acha tu chumv kwemye chai dah,,
2026-02-24 08:11:55
0
dominicakamwela2
user2097765660662 :
aiseee tumekula sana
2026-05-03 06:16:54
0
jullioscaver
Jullio Scaver :
pumbavu zao tutawashktaki
2026-02-12 20:15:47
0
princessjaylinah
lady vs money :
hatimae nimeyala mpaka kwenye Ugali😂😂😂😂😂😂😂
2026-02-12 13:32:52
0
hance_hyper
宁HANCE :
mbona mmi ilkua inaongezaa😂😂😂
2026-02-12 14:44:14
0
itskarungii_me
karungi_me :
Tumekunywa sana st anns moro😭💔😂😂@Bless💕 @sarah @Glaymee🌸❤️ @Glory👻
2026-02-12 19:01:58
2
urio011
junior 😎 :
🤣🤣🤣
2026-02-12 16:22:58
0
aviator_analyst
@Ma3stro☆ :
👏👏👏
2026-02-12 11:52:29
0
To see more videos from user @doctornoel, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About