@fmatulanga: Kwa Mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania. Bei elekezi kwa Februari 12, 2026. Wakia 1 ya Dhahabu ina nunuliwa kwa zaidi ya Shilingi Milioni 12 na Kuuzwa kwa zaidi ya Shilingi Milioni 13. Ikiwa hali ya Dunia itaendelea kama ilivyo sasa. Benki kubwa za biashara duniani zimebashiri hadi ifikapo robo ya 4 ya mwaka 2026. Bei ya Wakia 1 ya dhahabu itafika dola za marekeni 6,000 sawa na zaidi ya Shilingi milioni 15 za Tanzania. Dhahabu pia bei yake hushuka #ukwasi #dhahabu

SafariYangu
SafariYangu
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 12 February 2026 16:46:27 GMT
6558
88
1
7

Music

Download

Comments

felixalton130
Felix Alton :
shemejiiiiiii
2026-02-12 17:25:49
0
mnzukwi
Mnzukwi :
Ahsante. Jee ni gharama' kiasi gani kumiliki leseni
2026-02-12 16:58:28
0
To see more videos from user @fmatulanga, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About