@taymour_seif: Wakati upo chuo ndio mda mzuri wa wewe kuanza kujenga biashara usisubiri Mpaka umalize Anza mapema From @John Madeje -ushauri Kwa wanavyuo . . . .#business #biashara #fyp #tiktoktanzania #ushauri
Watu wanajipata after chuo, unajipata vipi😏 MUST unasoma engineering acha Ujinga wa motivation za kijinga
2026-02-13 17:42:53
65
coach Lawrence :
I'm starting now
2026-04-14 21:25:38
1
Casper 🧠 :
Usitie watu pressure wee
2026-02-13 20:10:32
7
AlphaTech :
Hamna aliyewahi kuishi mara mbili duniani wote ni wageni punguzenii ushaurii !! Swali je wewe ulijipata ukiwa chuo ?
2026-02-13 20:25:04
51
LIFE FIRST :
STARTING BUSINESS WHILE IN COLLEGE IS BEST ADVICE FOR FASTER DEVELOPMENT LATER
2026-03-24 09:41:58
12
Fasteey :
Usitishie watu maisha
2026-05-02 17:09:22
1
Dorcas Simon :
nifunze
2026-04-14 11:42:58
1
_dicque88 :
😂😂Vijana wenzangu manalalamika kwamba hamna muda 😂😂😂 sawa ila jamaaa ameongea bonge la points watu saiv mnajificha na vichaka vya kozi ngumu hahaha mm nipo mwaka wa 4 pharmacy hapo Muhimbili sasa iyo comfort zones mlizopo zitawatafuna dunia muda ndio adui wa kwanza sasa wewe maliza chuo alaf anza kujitafuta tupo tunakungoja pambana acha kuweka visingizio vya kipuuz et engineer 😂😂 we sio wa kwanza kuwa engineer force mzeeee shida akili zipo kwenye kuajiliwa😂
2026-02-13 21:55:53
29
@xard~jms :
Na husemi mtaji tunapata wapi🥺
2026-02-14 05:34:49
6
Justini :
unaongeah point kubwa madini,kichwa ndogo huwez elewaa
2026-02-13 21:23:38
3
Mansam19 :
punguzeni ushauri 🤣🤣
2026-02-13 20:13:41
5
Ofao cosmetics 💄 :
na kitu chaajabu wengi wanaompinga huyu mtaalamu ni wakiume duh
2026-02-13 21:37:42
7
JinBillnz :
Wewe unafanya biashara gani?
2026-02-13 20:20:28
7
Elisha Muhoni :
siku hz mtu akiwa na gari tu anajikuta motivational speaker
2026-02-13 22:11:02
15
™️ :
Truuuee
2026-04-28 18:20:01
1
Cedon6 :
hiii ni kweli kabsa bro🙏
2026-02-15 11:23:02
1
shakahtz :
watu wakiwa free wancheza e football na dream league acha tupambne
2026-02-14 04:19:21
5
lisper 💞 :
jmn mnaanzaje🙄😭
2026-03-23 22:43:24
1
dantte_bankx :
Bro ilo silipingi kabsaaa
2026-02-13 23:17:30
1
SillahAfrica🌍 :
broo umenena ukweli mtupu
2026-02-17 05:47:50
2
Abdillah 👑🤎 :
Ni kweli kbs
2026-02-14 03:14:47
1
lufunhnc8lz :
fact but limited
2026-04-23 01:26:43
1
mayrah -04 :
kweli kabc nimekuelewa mm nafanya biashara nikoo first year...mungu atanipa ushuhuda one day
2026-04-12 10:36:50
2
Bunnycafy ❤️✨ :
Kamplaaa 😂24/24hours 🙌🏻😩😩pharmacy no time Jamn 😭😭😭
2026-04-05 06:20:59
2
To see more videos from user @taymour_seif, please go to the Tikwm
homepage.