@hazeidstore: cakep banget cuy ni stoplamp🥰 #stoplamplazy #stoplamplazyvario #varioledold #variomodifikasi

𝙃𝙖𝙯𝙚 𝙞𝙙
𝙃𝙖𝙯𝙚 𝙞𝙙
Open In TikTok:
Region: ID
Sunday 15 February 2026 11:25:39 GMT
721135
13722
238
1539

Music

Download

Comments

lorenza_546
™ ★ Cincauu ★™ :
mau pakek takut ada orang iseng
2026-02-28 08:51:29
61
rizkiakbar.r
rizki :
itu kalo yang rgb bisa ga stay jadi 1 warna aja misal merah sama putih aja?
2026-09-08 15:57:11
0
yaudaiya007_
bukanseleramu__ :
pnp tinggal colok aja bg,atau perlu ada tamabahan
2026-08-14 08:56:42
0
veraaauliaa00
Veraaa.lestariaulia :
bang nama aplikasi nya apa
2026-08-12 10:53:55
0
sandy.priyatna00
Sandy Priyatna :
saya mau tanya lazy RGB emang harus pake rellay lagi?
2026-05-08 13:07:26
0
bintang.sinar12
WZX_Wand🖕 :
saya beli bukan RGB bisa rubah gk bg lampu nya
2026-07-17 09:02:45
2
varr_25led
🚀Latso🚀🚀 :
lampu bawah kok merah aj, gk mau putih kedip itu kenapa bg?
2026-07-12 11:51:13
1
mixa623
abc :
solusi sein ngak mau kedip bang
2026-04-25 15:11:04
4
ryuta8784
kazu katsu.. :
LED old 150 bisa nda bg😁
2026-05-05 04:41:49
0
adefirmansyahh18
Ade Firmansyah😎 :
spill cara pasang lazy nya bang biar gak ke bengkel pasangnya 😁
2026-04-14 04:43:42
0
rejadipanggildiam
ܛܔܮܛ :
bg ini kn tulisan rgb android? klo ip aman kn bg??
2026-05-05 09:58:14
0
......mleyot
🚥 :
kog mahal ya, di ahope ada yg 200-300rban.. model sama.. hayoloo.. bingung gw.
2026-04-26 17:28:20
0
akbarramadhan6987
skenxz.. :
gua beli gua ganti lampunya hk bisa
2026-03-12 13:46:54
0
anvavigo
anvavigo :
mode welcom nya bisa di seting jg ngk bos🙏
2026-04-04 23:39:24
0
zammm685
⚡💥 :
kalo sen gimana min
2026-03-25 03:58:28
1
ghinaadellia
Ghina Adellia :
cara konekin aplikasi nya gmn BG biar bisa ganti2 warna lampu nya?
2026-05-29 10:27:08
1
thomasssshelby1
Thomas💦 :
mas mau tanya kalo semisal lazzy yang 1 mode doang yang bukan RGB itu bisa d mainin orang ga si🙏
2026-05-02 16:06:42
0
ahmdarknnaufl
arknnnnnnnnn. :
kok keranjang kuning nya bukan jyaledtegal?
2026-05-30 08:05:28
1
86galau7hari
BAGAS :
terus klo.hp nya mati ituu lampu nya tetep idup apa gak
2026-04-02 11:17:08
0
.someone.else17
tujuhbelass :
mas kalau untuk vario led old keluaran tahun 2014 bisa gak kepasang dudukan nya
2026-03-12 01:39:11
0
alwaysfizz_
hfezzz :
bg kalo soketnya gamau kecolok kaya ngestuck gt gmn ya
2026-04-11 15:48:58
0
king.com294
☆☬κɪɴɢ☬☆ :
gada kranjang bang
2026-03-26 16:13:40
0
pft_444
aiueo :
itu semua stoplamp lazy nya apk nya sama semua atau gak
2026-03-22 07:55:35
2
tafriji_27
TWENTY SEVEN :
bang punya gue vario 125 led old tahun 2018, apakah sama dengan yang 2015-2017 soket nya
2026-03-20 13:15:40
0
ghfrnmmr
Gupongg Baee :
bang saya beli rgb lampu kedip setelah di pasang malah nyala merah semua trus yang sebelah atas disko trus di setting ga bsa ganti² warnanya gimana bang tolong tutorin
2026-03-17 07:35:06
0
To see more videos from user @hazeidstore, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda, huku Mradi wa Kuunganisha Gridi za Umeme Tanzania na Zambia ukifikia asilimia 90 ya utekelezaji na kutarajiwa kukamilika Februari 2027, hatua itakayoiunganisha Tanzania na soko la umeme la Kusini mwa Afrika na kuongeza fursa za biashara ya umeme kuvuka mipaka. Akizungumza, Septemba 11, 2026, katika ufunguzi wa Mkutano wa 67 wa Kamati ya Usimamizi ya Jumuiya ya Umeme ya Kusini mwa Afrika (SAPP), Naibu Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Zanzibar, Mhe. Seif Kombo, amesema kuimarisha biashara ya umeme kuvuka mipaka ni muhimu katika kuongeza upatikanaji wa nishati, kuimarisha usalama wa gridi na kupunguza gharama za umeme katika ukanda huo. Ameeleza kuwa Tanzania, kupitia Serikali na TANESCO, inaendelea kuwekeza katika kuimarisha miunganisho ya gridi, ikiwemo Mradi wa Tanzania-Zambia wa msongo wa kilovoti 400 ambao, utakapokamilika, utaongeza uwezo wa Tanzania kushiriki katika biashara ya umeme ndani ya SAPP. “Kuimarisha biashara ya umeme kuvuka mipaka kutaziwezesha nchi kutumia kikamilifu rasilimali za nishati zilizopo, kuongeza upatikanaji wa umeme na kuimarisha usalama wa gridi,” amesema Mhe. Kombo. Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Usimamizi ya SAPP, Andrew Etzinger, amesema ushirikiano wa kikanda ni muhimu katika kuimarisha usalama wa nishati, hususan wakati mabadiliko ya tabianchi, ukame na matukio ya hali ya hewa yanapoendelea kuathiri mifumo ya uzalishaji wa umeme. Amesema kukamilika kwa muunganisho wa Tanzania na Zambia kutakuwa hatua muhimu katika kuunganisha SAPP na Jumuiya ya Biashara ya Umeme Mashariki mwa Afrika (EAPP), hivyo kupanua wigo wa ushirikiano na biashara ya umeme kati ya nchi za Afrika Mashariki na Kusini. Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Usafirishaji Umeme wa TANESCO, Mha. Zakaria Mgalama, amesema mkutano huo umetoa fursa kwa nchi wanachama na wadau wa sekta ya umeme kujadili namna ya kuimarisha biashara ya umeme, miundombinu na usalama wa nishati katika ukanda huo. #UhondoTVUPDATES
Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda, huku Mradi wa Kuunganisha Gridi za Umeme Tanzania na Zambia ukifikia asilimia 90 ya utekelezaji na kutarajiwa kukamilika Februari 2027, hatua itakayoiunganisha Tanzania na soko la umeme la Kusini mwa Afrika na kuongeza fursa za biashara ya umeme kuvuka mipaka. Akizungumza, Septemba 11, 2026, katika ufunguzi wa Mkutano wa 67 wa Kamati ya Usimamizi ya Jumuiya ya Umeme ya Kusini mwa Afrika (SAPP), Naibu Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Zanzibar, Mhe. Seif Kombo, amesema kuimarisha biashara ya umeme kuvuka mipaka ni muhimu katika kuongeza upatikanaji wa nishati, kuimarisha usalama wa gridi na kupunguza gharama za umeme katika ukanda huo. Ameeleza kuwa Tanzania, kupitia Serikali na TANESCO, inaendelea kuwekeza katika kuimarisha miunganisho ya gridi, ikiwemo Mradi wa Tanzania-Zambia wa msongo wa kilovoti 400 ambao, utakapokamilika, utaongeza uwezo wa Tanzania kushiriki katika biashara ya umeme ndani ya SAPP. “Kuimarisha biashara ya umeme kuvuka mipaka kutaziwezesha nchi kutumia kikamilifu rasilimali za nishati zilizopo, kuongeza upatikanaji wa umeme na kuimarisha usalama wa gridi,” amesema Mhe. Kombo. Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Usimamizi ya SAPP, Andrew Etzinger, amesema ushirikiano wa kikanda ni muhimu katika kuimarisha usalama wa nishati, hususan wakati mabadiliko ya tabianchi, ukame na matukio ya hali ya hewa yanapoendelea kuathiri mifumo ya uzalishaji wa umeme. Amesema kukamilika kwa muunganisho wa Tanzania na Zambia kutakuwa hatua muhimu katika kuunganisha SAPP na Jumuiya ya Biashara ya Umeme Mashariki mwa Afrika (EAPP), hivyo kupanua wigo wa ushirikiano na biashara ya umeme kati ya nchi za Afrika Mashariki na Kusini. Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Usafirishaji Umeme wa TANESCO, Mha. Zakaria Mgalama, amesema mkutano huo umetoa fursa kwa nchi wanachama na wadau wa sekta ya umeme kujadili namna ya kuimarisha biashara ya umeme, miundombinu na usalama wa nishati katika ukanda huo. #UhondoTVUPDATES

About