@sokonidar: Ndizi mzuzu zimekua balaa Jirani, bei cha Tsh 50,000/= bei ya juu kabisa 130,000/= bonge la mkungu kama unavyoona hapo Jirani, ndizi bukoba nazo hazina afadhali moto wa kuotea mbali kabisa Mlipuko huu wa bei za ndizi saizi ni karibu ya sita, ndizi hazishikiki, mteja lazma agune akitajiwa bei😆😄 karibu sana sokoni Jirani #kilimo #kilimobiashara #agribusiness #daressalaam🇹🇿 #masoko