ulitaka katika hilo andiko kuwepo neno mavazi....lakini halipo
2026-02-27 05:30:32
20
lylianalyly :
kuwa potosha tu watu mafundisho yamekuwa mengi😏
2026-02-27 06:22:38
7
Zafarani :
INA MAANA POMBE NI HALALI KWA ANDIKO
2026-02-27 06:38:35
3
cyrus :
the scripture s about mixing of Christianity and jewish laws... but mwishoni kaua he want you guys to grow in Christ..
2026-02-27 00:08:11
5
SAMUEL GODFREY MWAMBASHI :
IBADA IJAYO TUNAKUJA NA KONYAGI NA VISUNGURA KANISANI KWAKO
2026-02-27 07:43:48
3
Jerry trone :
kwaio ndo mvae nusu uchi kwenye ibada sio
2026-02-27 13:14:23
0
Mr. Auditor 2025. :
ok...kwanini edeni waliwekewa mipaka ya kula .. kwanini wanawake ni wengi lakini tunaoa mmoja.. trust me dunia hii hatujawahi kupewa kibali cha kutumia kila kitu ili andiko lina msingi wake ambao watu wengi hawaijui..imani bila matendo haijakamilika.
2026-02-27 06:46:58
3
havan291 :
Nimtumishi lakini maandiko hamnakitu
2026-02-27 11:09:07
6
robbyone00 :
Hiyo tafsiri sivyo ilivyo
2026-02-28 05:30:52
0
tarimo SR :
pole I wote mliopo ktk kanisa hilo mana mnasukumwa jehanam
2026-02-27 10:06:08
0
BintiWaYesu :
Mafarisayo wanapinga hadi neno jamani,kwanini lakini😅😅
2026-02-27 09:44:48
0
aamog2030 :
kwahy pombe ni halalai cy maana walokole watatuua
2026-02-27 20:43:22
0
Mwairwachriss :
naomba msinishauri mtanichanganya bure
2026-02-27 18:21:09
1
William @1844 :
sabato iko na niya milele
2026-02-27 11:58:55
2
user8577532283002 :
vinywaji hapo ondoa pombe
2026-03-01 09:22:30
0
@ELIE BVN Officiel :
ina maaana ndani ya dini Yako, kuwa mlevi siyo kosa?
2026-02-27 12:05:30
0
Aidan Idan :
nina mashaka nahuduma yako bro.
2026-02-28 15:11:58
2
TUMWENDEE YESU :
Soma biblia uilew na ukaribishe roho mtakatifu akufunulie
2026-02-27 04:22:49
1
Sylvester :
Sabato zinazozingumziwa hapo ni sabato za Musa ila siyo sabati ile ya Mungu hili andiko bado waru hawajalielewa vizuri
2026-02-28 03:16:50
0
williamjohn7281 :
ujasoma vizuli tafuta kueleweshwa ili ujuwe maana yake
2026-02-27 20:45:33
2
Benito@G :
pastor T asante sana kwa nuru hii nimepona
2026-03-15 08:53:26
1
️Jacky_samaki_mwanza :
Ila walokole na hili fungu haya😂😂😂😂
2026-03-03 14:19:44
1
mwagitokumbiligasa :
kunywa bia tatu mchungaji
2026-02-27 17:10:52
1
Precise :
shida ya watumishi waleo ni motivation speakers na komediani.
2026-02-28 08:27:10
2
To see more videos from user @irene_keza, please go to the Tikwm
homepage.