@haraka_spice: Mama wengi tunazingatia afya tu… lakini tunasahau ladha 🥺 Mtoto pia ana hisia za ladha kama mtu mzima. Chakula kisipokuwa na mchanganyiko mzuri: – Mtoto anakataa kula – Anakula kidogo – Au analia wakati wa kula Jaribu kuongeza: 🥕 Mboga zenye rangi 🐟 Protini kama samaki 🌱 Mchanganyiko wa ladha asilia Chakula cha mtoto kiwe: ✔ Healthy ✔ Soft ✔ Na KINA LADHA Ushawahi kupitia changamoto ya mtoto kukataa kula? 👇🏽

Haraka_spice_shop
Haraka_spice_shop
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 27 February 2026 10:15:54 GMT
63193
874
13
357

Music

Download

Comments

teddy.ramadhan6
Teddy Ramadhan :
mm wangu hapendi vya kubland saivi
2026-03-03 09:11:40
3
strongwomen832
Lizzy🌹 :
Ukitaka mtoto apende kula usimwekee chunvi wala sukari 🥰
2026-03-03 23:28:50
1
momd535
Mumy Dee♥️ :
Hizo mboga za majani ni mboga gani
2026-04-08 21:37:19
0
teddy.ramadhan6
Teddy Ramadhan :
ana mwaka
2026-03-03 09:11:47
2
farhatialimohamed2
Farhati ali Mohamed :
mm nampikia ila siweki chumvi wala sukari anakula balaa
2026-02-27 18:19:44
1
norah4867
Norah :
Mchicha uwe wa mwisho....hapo anakula makapi ya mchicha
2026-03-28 16:27:09
1
zuhura.ramadhan49
Zuhura Ramadhan :
🥰🥰🥰
2026-05-19 21:13:38
0
naicollection24
nai collection :
@OLESTER SEVELINE
2026-05-27 16:42:19
1
To see more videos from user @haraka_spice, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About