Tabia siipend hii eti mm Nina doctor wangu inaboa sanaa
2026-03-01 11:25:17
49
KAGOMBORA UZAZI SOLUTIONS :
Kwanini izo p2 aujaenda kuchukua kwa daktari wako
2026-03-01 20:51:40
16
kalamla jr :
Tabia ya watu wa KAGERA huwezi mpatia dawa kama hajampigia daktari wake wa mhimbili au bugando😂😂
2026-03-01 20:20:16
8
Mwakyogero phdy :
😂😂😂😂😂😂safi kbsaa jbu n zuri mnoo amuulize doctor tena ungemalizia shenzi kabsaaa
2026-02-28 21:46:26
17
dicloday😅🌺 :
Bora umemjibu vzuri amuulize na matumiz 😅
2026-03-02 13:09:51
6
Dada Tee :
Ila Warda😅😅😅
2026-02-28 15:38:45
7
Dr michael. :
Mimi kabla sijampa namuuliza unaangalia nini? akisema anachotaka kuangalia namwambia kama kipo au hakuna kama hiyo mimi ningemuuliza unataka ipi? na kama akiqmbiwa na anaemwamini hivyo namwmabia sina na bei inaapanda
2026-02-28 17:22:34
6
Leopold Mujaki 🇹🇿 :
nawachukia sana watu wanaodharau kazi za watu.
2026-05-27 11:21:13
3
trace🥰 :
🤣🤣🤣🤣 yaan wahvo wako wengi anakwambia kabisa mmh ngoja uongee naye kwanza au anaondoka mpk awasiliane naye af jion linakuja tena 😞
2026-02-28 18:16:03
5
Fravychosen :
mpaka keshajua kuna P2 viwili bado hajui matumizi ntachamba mtu hapohapo 😂😂😂😂
2026-02-28 15:41:21
11
Ms Candy :
Sio kwa hii Jeuri+ kiburi cha kijaluo wallahi namtimua 😅
2026-03-02 05:47:03
4
Happy kadunda :
Safi sana
2026-03-31 22:06:19
0
Flower🌹 :
cjui kwnn Huwa wanatudharau
2026-03-18 14:53:33
3
polina :
kama Azuma zinavyotusumbua jomon uwi unamuelekeza mtu haelewi hata
2026-03-02 11:30:37
4
polina :
Dr wamizangamuo lazima amulizw kwaza
2026-03-02 11:32:22
2
MJ Wears&Knots🧶 :
mwambie anywe week moja baada ya kuzini😂😂
2026-03-01 07:12:23
4
Pray_melody's :
Content safi bro nitakufollow kesho saa hiz nashiriki tendo la ndoa.
2026-04-26 10:36:42
1
To see more videos from user @hskpharmacy, please go to the Tikwm
homepage.