@katorotv: #Iran imefanya shambulizi katika kambi ya Jeshi la #Marekani iliyopo Bahrain ikiwa ni kulipiza kisasi baada ya Marekani na Israel kuishambulia Iran saa chache kabla. Taarifa za awali zinaonesha makombora na droni zililenga makao ya Jeshi la Wanamaji la Marekani (U.S. Fifth #Fleet), na milipuko pamoja na moshi mkubwa ulionekana karibu na eneo la #Juffair. Video iliyosambaa mitandaoni na kuthibitishwa kijiografia imeonesha kombora au droni ikipiga karibu na kituo cha kijeshi cha Marekani nchini #Bahrain, tukio linaloashiria kuongezeka kwa mvutano mkubwa Mashariki ya KatiShambulizi hilo limetajwa kuwa jibu la moja kwa moja baada ya mashambulizi ya pamoja ya Marekani na Israel dhidi ya malengo ya kijeshi na nyuklia nchini Iran, jambo lililopelekea Iran kuanza kulenga kambi za Marekani katika nchi kadhaa za Ghuba. Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (#IRGC) amesema mashambulizi yaliyofanyika ni mwanzo tu wa uwezo wa kijeshi wa Iran. Kamanda huyo amemwambia Rais wa Marekani Donald #Trump kuwa Iran bado haijatumia silaha zake za kisasa katika mapambano haya, na kwamba mashambulizi yaliyofanyika yalitumia makombora ya zamani kutoka kwenye hifadhi ya silaha.
Iran🇮🇷 kwani wanasubiri nini after killing Ayatollah Mimi ni Mkristo lakini kuua Ayatollah ni makosa America wanafaa kupewa adabu kali sana Iran muache upusi funguweni bomu hata kama itatumaliza wote changamkeni
2026-03-01 09:07:57
58
Ramadhani Buguru :
Allah awape ushindi Iran 💪💪
2026-03-01 10:23:55
46
hom£b○Y. :
Mungu bariki Iran 🇮🇷
2026-03-01 05:09:34
29
abduhaj :
makafiri lazima wachukiee
2026-03-01 03:44:19
9
Muslim gal :
Allahuma barik iran🤲
2026-03-01 14:02:53
18
rajabkalume563 :
Allah awape ushindi lran
2026-03-01 18:19:54
13
boss lady❤️👑 :
yarabby wanusuru walioenda huko nje kufanya kazi
2026-03-01 15:56:54
23
debig ray :
kama unaamini Iran itashinda weka like
2026-03-02 08:00:29
9
great boy :
tulio angalia leo j2 tujuane kwa like
2026-03-01 14:05:42
22
Binza🇹🇿 :
Hizi dini kama ndo zinaleta hii vita basi ni bora tuķaziacha tukaendelea na maisha yetu na imani zetu za Kiafrika.
2026-03-02 20:40:38
5
abuu ame :
Allah awape ushind waisikam wzetu
2026-03-01 14:56:31
10
TRUST ME 💯✍️✍️🤝 :
team iran 🇮🇷 👏 mwenyezi mungu wasimamia inshaallah 🙌 👏 🙏
2026-03-01 11:05:38
17
Mohzul 💕 :
Allah awajalie nguvu na ushindi in Shaa Allah
2026-03-01 06:28:00
11
Usrah daveed :
Yaa Allah wape nguvu ndugu zetu na uwawezeshe kuwashinda makafiri 🤲🤲🤲
2026-03-02 12:24:12
5
Marani Haji :
Hata Saddam alijidai akaishia makao ya panya
2026-03-01 16:50:22
7
fadhilimikingi :
Iran pga wamarekan haoo
2026-03-01 12:21:15
6
No love no stress :
Mungu asaidie tu vita viache nchin zote zenye vita amiin Amiin thumma Amiin 🤲🤲
2026-03-01 11:39:33
9
DUDE MTANZANIA 🇹🇿🇹🇿 :
Mimi shabik I Wa iran
2026-03-01 14:53:32
5
MswatiJr :
it's not about religion it's more political,.. America should let every country in Middle east plan there way of governance