@thegoldenleo4: Kama unajijua ulishawahi kumuumiza LEO ♌️ kwa namna yoyote ile akalia Kwaajili yako Aisee nikuambie tu hamjamalizana bado LEO ♌️ siyo watu wa kusamehe na siyo watu wa Kusahau kumbukumbu za maumivu hazifutiki kirahisi kwa Leo ♌️ LEO ♌️ Ana kawaida ya kurudisha kile unachomfanyia Mara 10 zaidi. Ukimpenda atakupenda zaidi ,ukimajali atakujali na atakulinda zaidi ,Ukimdharau Oyaaaa weeee atakudharau mpka ujione haufai mbele za watu ,Ukimuumiza ata hakikisha unalipa kwa maumivu hayo Mara 100 zaidi , LEO ♌️ analinda MOYO wake kuliko kitu chochote kwasababu kila kitu kwenye maisha yake kinategemea Amani ya MOYO .Moyo ukiwa na Amani na furaha basi utaona jinsi gani LEO ♌️ anastawi na kuna wili Ila moyo ukiwa na mashaka ,hofu maumivu ,majeraha I namchukua muda mrefu LEO ♌️ kuendelea na maisha ya kawaida Ndiyo maana Hauwezi kukuta LEO ♌️ anakaa kwenye mahusiano yanayomuumiza ,Hauwezi kukuta LEO ♌️ anakuwa single kwa Muda Mrefu kwasababu LEO ♌️ anatamani kupendwa na kufanywa special Yaan afanywe Malkia au mfalme akikosa hiyo hali hawezi kuvumilia sasa pata picha Uumize MOYO wake utajuta kumfahamu 😂 Yangu ni hayo tu mnapoishi nao huko mjue jinsi ya kuwaepuka msiwaumize #LEO #leo♌️ #zodiacsigns #aquarius #gemini
THE GOLDEN LEO ♌️
Region: TZ
Saturday 07 March 2026 21:14:03 GMT
Music
Download
Comments
LEO BAE ♌️ :
Waambie pia kuwa sisi ni mtakuja utazngukaaa uko ila apaaa utarudiii tu😒😁😂
2026-03-08 05:47:45
167
tylda qian🩵 :
LEO ♌🦁 tuwe na group sasa
2026-03-08 06:16:57
134
Rahma Moud :
alafu leo akikusemea kwa mungu jamaniii Mungu wetu huwa anawahi kutujibu nyie😂😂😂
2026-03-08 11:39:55
62
PrettyLovenee🫦 :
😭😭😭Mungu atutoe kwenye vinyongo jaman mm nkimuona mtu aliyenikosea had sura inabadilika
2026-03-08 06:04:39
38
RORO_LUXE _DODOMA :
Na akisema amekusamehe ni uongo anataka kukuonesha Revenge najinsi alivyo move on😂💪💪
2026-03-07 22:02:01
38
Mrs Aryaman :
Aiseee nashindwa kumsamehe had kwenye swala namtaja Mungu ampe anachostahili 🤣🤣
2026-03-07 21:43:47
22
Nizon Alfred :
Sawa Leo ♌️ni wababe lakini kwa Aries ♈️mnasubiri sana 😂😂
2026-03-08 07:23:42
7
oriana_tz0 :
Am I the toxic one ambae sitaonesha kuumia hata kama nililia nusura ya kufa😂 and I will calmly planing my revenge hata kama itachukuwa 10yrs?… the fun thing I like it coz wanakuwa wamesahau and nawachekea muda wote kumbe ninawachora and plot my revenge every sec😅
2026-03-08 05:58:52
7
malik 👣 :
achana na kutosamehe pia hatusahau
2026-03-07 21:55:56
48
Ezzie🍫 :
Kumbe me ni Leo na nilikuwa sijui huwa inamaana gani ila kwa hizo tabia ni me kabisaaaa
2026-03-08 05:47:11
3
Neema kibonge :
Sisi huwa tukikupenda tunajitoa sana ILA ukitudisappoint tunakudelet moja kwa moja na haina comeback.
2026-03-08 13:14:39
14
Queen Leo :
kuna mtu kasema Aries ♈️ni kiboko ya leo...Leo ni mfalme afu Aries ni mtumwa kweli hatuwezan sie stareh inatumaliza😂😂😂
2026-03-08 07:44:52
10
fighter Girl Edna 🏀 :
na kuna mda tunakubali kosa si letu ili mambo yasiwe mengi lakin moyon tunabaki nalo
2026-03-08 07:13:40
10
🦋👐🥰🥰 :
😁😁😁😁TENA DHARAU ZAKE MPAKA UNAJICHUNGULIA NIMEJINYEA AU?
2026-03-08 10:30:29
6
mama rey :
kuna mtu nishamuambia ntamloga na wala sitanii ngoja aniletee upumbav mi sio mwem😅😅
2026-03-07 22:06:08
5
binahmateo :
leo ni wa mwezi gani?
2026-05-06 21:39:45
0
@najo🥰 :
hii kweli japo mi ni Aquarius kuna leo namjua hasau mambo hata ya miaka 10 nyuma kiufupi ana kisasi kibaya😅
2026-03-08 03:28:43
6
Sigidi 🦋🇹🇿 :
nashanga mbona niko hvi kumbe n matatz yangu ya damun kbs😅
2026-03-07 22:03:59
5
Dr Dorcas.Caretz.🇹🇿 :
😂😂😂na uwa nikitaka kulipa kisasi nakupa na taharifa kabisa🥳🥳🥳
2026-03-08 16:24:08
0
Tony_mlay1 :
Kweli siwez kuka single mdaa mrefu
2026-03-11 20:40:56
4
𝙎𝙖𝙢𝙖𝙧𝙞𝙯𝙚 champanenga :
Yani Kuna Malaya kanivuruga nna wiki y pili si fanyi chochte sipati picha nikipona na kusahau atajuta Wallah...😂😂😂😁
2026-03-08 12:10:58
2
Aisha Riziwani :
msinichambe jaman nataka kujua tu maana ya Leo coz sijaelewa nikisoma comment nikama nazungumziwa mim ila sielewi
2026-03-18 06:09:11
0
Mi corazón merece paz🤍♌️ :
11 augst
2026-03-09 17:52:46
1
tm_point :
Name ni mwepesi sanaaa wakusamehe jamani😅😅😅😅😅
2026-03-08 11:54:19
1
Hasnat ramadhan :
😂😂😂 ila mi saivi ñimeacha nasamehe halafu nakupotezea kama sijawahi kukujua
2026-03-08 10:24:15
4
To see more videos from user @thegoldenleo4, please go to the Tikwm
homepage.