@tok.bnez: HOW YOU DO SOMETHING IS HOW YOU DO EVERYTHING T. Harv Eker, katika kitabu chake SECRETS OF THE MILLIONAIRE MIND kuna mahali anasisitiza hili jambo kuwa namna unavyofanya jambo moja huwa inatafsiri wewe unafanyaje mambo yako. Kama ukiamka hutandiki kitanda hadi unarudi usiku kisa ATI ULIKUWA UMECHELEWA basi inatafsiri kuwa hujui mambo ya msingi maishani hayatakiwi KUAHIRISHWA hata kidogo. Ndivyo ilivyo na hili la chakula. NAMNA UNAVYOKULA inatafsiri kubwa sana ya so far wewe ni mtu wa aina gani. Hujakatazwa kula kwa watu rafiki. Ujumbe huu uchukulie tu kama USHAURI WA MUHIMU kwenda nao maishani. Watu waliofanikiwa utakaokutana nao wana namna nyingi mno za kusoma tabia zako. Meza ya mtu mkuu au mtu tajiri au mtu akiyekuzidi kimaisha siyo meza bali ni SILENT INTERVIEW. Kuna watu wamekosa kazi au promotions au business opportunities baada ya kula na aliyekuwa ameshikilia fursa hiyo au aliyekuwa MLANGO wa fursa hiyo. Achana na kauli nyepesi za kwenye malori zile kwamba "KAMA IPO IPO TU". Ndo maana wamebaki kuendesha malori (no offense). Kwenye maisha kuna kitu kinaitwa LOW TRUTH na HIGHER TRUTH. LOW TRUTH ni Mungu anampa fursa kila mtu. HIGHER TRUTH ni Mungu huwapa fursa za maana waliojiandaa kuzihandle. Tafuta kujua HIGHER TRUTHS katika safari yako ya mafanikio. UTANIKUMBUKA. KUHUSU COACHING: KUNA AMBAO MMEKUWA DM KUULIZA KUHUSU COACHING. COACHING IS NOT FOR FREE. NIMEWEKA UTARATIBU WA KUWASAUDIA WANAOHITAJI NA "FEE" YA $100 (KAMA TZS 250,000) KWA MIEZI 6. I BELIEVE MTU SERIOUS MAISHANI HAWEZI KUONA HUO NI MZIGO KWAKE KAMA KWELI ANAHITAJI KUSAIDIKA. SO USIJE KAMA UNAONA KWAKO NI MZIGO. MIMI PIA KWANGU NI MZIGO KU COACH MTU NISIYE NA HAKIKA KAMA ANATHAMINI MY TIME. SO STAY WHERE YOU ARE. BUT KAMA UMEAMUA KWELI KUFANIKIWA HASA KIBIASHARA NJOO TUFANYE VITU SERIOUS. DM AU TUMA NENO: "I AM READY" KWA WHATSAPP NO. 0788 366 511. LET'S GO!