@shabibyline: Kila siku tunasafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Singida na kutoka Singida kwenda Dar es Salaam kwa mabasi yetu ya VVIP yenye viwango vya kisasa. Ndani ya basi utapata huduma kama: ✨ TV katika kila seat kwa burudani tofauti tofauti safari nzima. 🚻 Choo ndani ya basi kwa urahisi zaidi (hakuna chimba dawa) 💺 Viti vya kisasa vilivyo na nafasi ya kutosha. Lakini pia tunasafirisha mizigo midogo na mikubwa,parcel mikoa na sehemu zote ambazo shabiby bus tunawafikia,kwa gharama nafuu mno.😍😇🙏🏾 Unaweza kukata tiketi ya safari yako kupitia tovuti yetu ya www.shabiby.co.tz LIVE ROYAL 🌍 TRAVEL ROYAL #ShabibyDigital #LiveRoyalTravelRoyal