@faridabeautyacademy: Hatua za kuzingatia unapoweka dawa Product zote nimetumia kutoka @movitproducts.tz Kama kuna swali niandikie kwenye comment Mafunzo zaidi tupo dar Tegeta nyuki ☎️ 0657292650

FARIDA BEAUTY ACADEMY
FARIDA BEAUTY ACADEMY
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 13 March 2026 09:51:15 GMT
368354
9471
147
445

Music

Download

Comments

sharifa.salum50
sharifa salum :
natamani ungekuwa Zanzibar huku hawajui kuweka dawa
2026-03-13 17:24:13
40
j_sasy
🫩 :
je..unamaintain aje nywele iliyopakwa dawa ili isikuwe brown..na nini inafanyanga wengine wakiweka relaxer nywele inaturn brown?
2026-03-13 12:16:57
12
leahmnkeni0
Lee :
hio movit leave in conditioner naipata wap anejua anisaidie
2026-03-13 15:05:52
1
lj.maleko
Lj Maleko :
siwezi sahau yule dada alinipika ngozi na movit😭 nililia kama mtoto 😭💔
2026-03-13 10:06:09
47
jowmylan
Cute 🥰 :
Tunaotumia movit na nywele zipo lele lele weka like hapa
2026-03-28 11:55:40
2
seo52rin
seo_rin :
dawa gani ya nywele n nzur kwa mtu mwenye nywele chache na laini na amechok kukaa na natural hair
2026-03-14 10:28:51
1
neynick6
neynick6 de boss :
Ntafurah kama ntaweza kupata msusi wa saluni kwangu 🙏
2026-03-16 07:29:19
1
fathiya.juma1
Fathiya Juma :
jamani mafuta maxuri yanojaxa nywele naomb mniambie
2026-03-13 16:19:47
1
onlyfahhhh
Number tasa :
mbona hua tuna katazwa ku blow dry nywele jamani? si elewi sasa mimi
2026-03-14 03:44:43
3
offcialjath7
Z@uj@t#❤ :
nywele za dawa inafaa kuboddray kama ivyo???
2026-03-13 10:48:54
1
kayitesi9628
pays 💚💓❤️💫💫 :
all day confidence
2026-05-13 11:59:42
1
user5025340437581
Marsal beauty and spa Hamamni :
iyo safi sana uko sawa kwenye uwekaji wa dawa
2026-03-13 14:41:30
4
user87568986631884
ferry mkali :
wajina mie napenda nywele ila naogopa kuweka dawa nitumie nn ili zi grow vizur 🥰
2026-03-26 06:58:03
1
fb..princesnainah
LEYLA MAKEUP PAMBE🦋 :
I inafanya nywele kuwa ,za brown. brond.au breach
2026-03-14 16:51:28
2
yangkaila0
yangkaila0^₩¥£€jink@ :
🥰🥰safi sana
2026-03-15 09:21:31
1
zaks17424
Zaks😁 :
Farida una moyo safi sana. Na hii ndio maana halis ya Academy. Niseme tuu hongera na endelea na moyo huo huo . Endelea kutufunza dada.
2026-04-29 18:07:47
3
esther123mr
Daddy's princess❤️ :
je naweza kutumia leave in conditioner ikiwa napaka curl?
2026-03-25 09:46:10
1
the.great6056
the great :
asanteeh kwa mfunzo mazurii
2026-03-19 12:31:54
1
sophy7283
sophy :
nice
2026-03-13 10:50:53
3
user914714732
Christina :
hiyo shampoo unaweza oshea nywele isiyo na dawa?
2026-03-19 07:23:12
1
najma.ngaona.najm
Najma Rashid :
nimependa langi ya mteja
2026-03-16 12:35:34
1
mariammathias706
mariam mathias 💞 :
natamani igekua mim nina nyiwele mbaya sana 😩😩🤌
2026-03-15 08:18:42
1
officiallyhyness
hyness :
yule Dada alinikata nywele yangu yote
2026-03-14 17:12:18
1
editz_anime78
speciosemugirane7 :
nice
2026-03-13 18:40:07
1
user9497755406513
Sophia Idrissa 🥰 :
natafuta rafik waku View status
2026-03-14 07:44:29
1
To see more videos from user @faridabeautyacademy, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About