@najimvitambaatz: Mwenyezi Mungu, Tunakushukuru kwa kuwa Wewe ni mlinzi na mwokozi Wetu. Tunakuomba utulinde Sisi & familia Zetu, na kila kilichounganishwa nasisi kwa mikono yako yenye nguvu. Tuokoe kutoka kwa watu waovu na wabaya, na ubatilishe kila mpango uliopangwa dhidi yetu. Tupe hekima ya kuwa wangalifu kwa watu waliotuzunguka. Ninaamini utaharibu kila hila na uovu uliopangwa kinyume na Sisi. Amen 🙏 🙏 🙏 🙏