@lilyanapika: Dondoo muhimu kama unatengeneza barafu za biashara 1. Weka ladha kwenye barafu zako 2. Tumia cmc (kilainishi) iwe laini 3. Tumia corn flour ili iwe nzito usitumia unga wa ngano 4. Pima viungo vyako kila unapokuwa unatengeneza barafu Mafunzo ya kujifunza kutengeneza ice cream za biashara bila kutumia mashine ONLINE kupitia WhatsApp kwa njia ya video linaanza tarehe 30/3-12/4 ADA: TSHS 50,000/- Zimebaki nafasi 20 mpaka sasa. Comment neno ICE CREAM nikutumie maelezo ya kulipia.