@patmo.community.p: SOMO :BWANA ANATUKUMBUSHA KUHUSU MSAMAHA (FORGIVENESS) 🙏kwamba bila kusamehe Mungu pia hawezi kutusikiliza 🤔anasema kupitia mtumishi wake kwamba katika maagizo aliyoyatoa kuna msamaha pia ameongea kupitia kitabu cha MATHAYO 18:21-22 kwamba tusamehe 7mara 70 🤔🔥izo zote ni kusamehe tu😅 Ndipo tutapokuwa tuna haki ya kuongea na MUNGU.barikiwa sana endelea kufatilia @PATMO COMMUNITY PRAYERS CHURCH kwa ajili ya kuhudumia roho yako .☑️