@mbtvkenya: Watu watakuongelea vibaya si kwa sababu wanajua ukweli wako, bali kwa sababu ya chuki na uhasidi ulio ndani yao. Wewe simama imara, Allah anaijua nia yako na ukweli wako 🤍 “وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ” “Na kutokana na shari ya mwenye husuda anapohusudu.” (Surah Al-Falaq 113:5) Usipoteze muda kujibu kila neno nyanyua mikono yako kwa dua, kwani ulinzi wa Allah ni mkubwa kuliko maneno yao. #Tawakkul #Sabr #Imani #NoHusuda #AllahAnatosha #mbtvkenya