@001fm.kenya: Vijana katika Kaunti ya Mombasa kupitia mpango wa TUKO KADI wamejitokeza kwa wingi kujiandikisha kama wapiga kura, huku zoezi la usajili likiendelea katika Chuo Kikuu cha Kiufundi Mombasa (TUM), lengo kuuu ni kuhamasisha ushiriki wa vijana katika demokrasia. #fyyyyyyyyyyyyyyyy #mombasatiktokers #likonitiktokers #busiatiktokers