@gstefhli403: لقطه ل تيالدا اخذتيها الشروط ب البايو م أسامح إذا مأسويتي الشروط

ارد الأضـافـة🤞🏻🎯
ارد الأضـافـة🤞🏻🎯
Open In TikTok:
Region: SA
Thursday 26 March 2026 17:26:48 GMT
13930
267
6
242

Music

Download

Comments

.xz6_r
It's Hala :
ياقلبي مقدر احط لايكات لكل مقاطعك ف اي مقطع ابيه بحط له مفصله لان فيه موسيقى والباقي سويته ياروحي
2026-06-22 22:01:03
0
jfjcjrcizbf
🎙️ :
مزه💞💞
2026-06-15 12:54:11
0
illlxa8
R. :
english.boost..cam ضيفو هذا الحساب وربي فللللله تتتعلمون بسهوله جربو ولاتخسرون شي🥺🥺🥺
2026-03-26 17:30:18
0
___09sp
ايــفـانـا الـمـطـيـري. :
مزه تيالدا
2026-06-11 11:31:34
0
To see more videos from user @gstefhli403, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

MBUNGE SHAYO AHOJI ENEO LA SHANTY TOWN , MEYA ASEMA “SI ENEO LA WAZI” Kiwanja cha Halmashauri kilichopo Shanty Town katika Manispaa ya Moshi kimeibua mjadala mpya baada ya Mbunge wa Moshi Mjini, Ibrahim Shayo, kukifikisha bungeni akidai kuwa kuna mipango ya kujenga ukumbi wa sherehe katika eneo analodai ni la wazi, huku Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Zuberi Kidumo, akikanusha madai hayo na kusisitiza kuwa eneo hilo si open space bali ni mali ya Halmashauri yenye matumizi ya biashara. Hoja hiyo iliibuliwa na Shayo wakati wa kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, ambapo alisema pamoja na mafanikio ya Serikali katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, bado kuna changamoto ya baadhi ya viongozi kubadili matumizi ya maeneo yaliyotengwa kwa manufaa ya wananchi. Mbunge huyo alisema mbali na eneo la Uhuru Park, pia kuna eneo la Shanty Town ambalo, kwa mujibu wake, linapangwa kujengwa ukumbi wa sherehe licha ya kuwa lipo katikati ya makazi ya wananchi.
MBUNGE SHAYO AHOJI ENEO LA SHANTY TOWN , MEYA ASEMA “SI ENEO LA WAZI” Kiwanja cha Halmashauri kilichopo Shanty Town katika Manispaa ya Moshi kimeibua mjadala mpya baada ya Mbunge wa Moshi Mjini, Ibrahim Shayo, kukifikisha bungeni akidai kuwa kuna mipango ya kujenga ukumbi wa sherehe katika eneo analodai ni la wazi, huku Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Zuberi Kidumo, akikanusha madai hayo na kusisitiza kuwa eneo hilo si open space bali ni mali ya Halmashauri yenye matumizi ya biashara. Hoja hiyo iliibuliwa na Shayo wakati wa kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, ambapo alisema pamoja na mafanikio ya Serikali katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, bado kuna changamoto ya baadhi ya viongozi kubadili matumizi ya maeneo yaliyotengwa kwa manufaa ya wananchi. Mbunge huyo alisema mbali na eneo la Uhuru Park, pia kuna eneo la Shanty Town ambalo, kwa mujibu wake, linapangwa kujengwa ukumbi wa sherehe licha ya kuwa lipo katikati ya makazi ya wananchi. "Pia kuna eneo la wazi katika makazi ya watu ambalo linapangwa kujengwa ukumbi wa sherehe. Ukumbi huo ukijengwa utasababisha kelele na kuondoa matumizi yaliyokusudiwa ya eneo hilo," alisema Shayo bungeni. Kutokana na hoja hiyo, aliiomba Serikali kutoa msimamo kuhusu viongozi wanaobadili matumizi ya maeneo ya wazi kinyume na mipango ya matumizi ya ardhi. Akijibu hoja hiyo, Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, alisema Serikali inatambua kuwa kumekuwa na changamoto katika baadhi ya halmashauri za kubadili matumizi ya maeneo ya wazi bila kuzingatia mipango ya awali. Alisema maeneo ya wazi huwekwa kwa sababu za kimkakati, ikiwemo kuhifadhi mazingira, kupunguza athari za mafuriko na kutoa nafasi kwa matumizi ya kijamii, hivyo hayapaswi kubadilishwa kiholela. Kutokana na hoja hiyo, Waziri Mkuu alimuagiza Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kufuatilia suala hilo na kuhakikisha taratibu zote za matumizi ya ardhi zimezingatiwa. Hata hivyo, Meya wa Manispaa ya Moshi, Zuberi Kidumo, amesema madai hayo hayana msingi kwa kuwa eneo la Shanty Town si eneo la wazi bali ni kiwanja kinachomilikiwa na Halmashauri kwa matumizi ya biashara.

About